Mhhh! Msimjaze ujinga kijana wa watu japo za chini nasikia jamaa anasoma Pd ujeruman.Hiyo ndio hadhi ya Makonda kwa Sasa.
Ameanza kazi rasmi, na ameanza kwa kumpangia kazi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, moto ni uleule kwa Makamu wa Rais, Sasa akifika kule wilayani na mikoani, wakuu wa huko wajipange.
OCD na RPC, msiache kutembea na pingu, amri yoyote inaweza kutolewa.
Chongolo, endelea kukaa Chocho, you are a ceremonial Secretary General.
PM, una miezi sita tu kabla Makonda hajaandika memo kwa SSH.
Pd ndio nini? Unaweka code period?anasoma Pd
Pd ndio nini? Unaweka code period?
Amri yake inaogopwa kuliko ya wanaotembea na ngao kwenye gari.Hiyo ndio hadhi ya Makonda kwa Sasa.
Ameanza kazi rasmi, na ameanza kwa kumpangia kazi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, moto ni uleule kwa Makamu wa Rais, Sasa akifika kule wilayani na mikoani, wakuu wa huko wajipange.
OCD na RPC, msiache kutembea na pingu, amri yoyote inaweza kutolewa.
Chongolo, endelea kukaa Chocho, you are a ceremonial Secretary General.
PM, una miezi sita tu kabla Makonda hajaandika memo kwa SSH.
Makonda anaweza kumpangia hata MUNGUHiyo ndio hadhi ya Makonda kwa Sasa.
Ameanza kazi rasmi, na ameanza kwa kumpangia kazi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, moto ni uleule kwa Makamu wa Rais, Sasa akifika kule wilayani na mikoani, wakuu wa huko wajipange.
OCD na RPC, msiache kutembea na pingu, amri yoyote inaweza kutolewa.
Chongolo, endelea kukaa Chocho, you are a ceremonial Secretary General.
PM, una miezi sita tu kabla Makonda hajaandika memo kwa SSH.
Chongolo kishabutuliwa na M.A.F.I.A "last born" kuna mwengine hajielewi tu kwamba ndio anafuata.Hiyo ndio hadhi ya Makonda kwa Sasa.
Ameanza kazi rasmi, na ameanza kwa kumpangia kazi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, moto ni uleule kwa Makamu wa Rais, Sasa akifika kule wilayani na mikoani, wakuu wa huko wajipange.
OCD na RPC, msiache kutembea na pingu, amri yoyote inaweza kutolewa.
Chongolo, endelea kukaa Chocho, you are a ceremonial Secretary General.
PM, una miezi sita tu kabla Makonda hajaandika memo kwa SSH.
Makonda atawachezea hao wajinga wenzie wasiojitambua lakini hathubutu kuingia anga za wasomi kama Mpango au Adam Malima!Hiyo ndio hadhi ya Makonda kwa Sasa.
Ameanza kazi rasmi, na ameanza kwa kumpangia kazi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, moto ni uleule kwa Makamu wa Rais, Sasa akifika kule wilayani na mikoani, wakuu wa huko wajipange.
OCD na RPC, msiache kutembea na pingu, amri yoyote inaweza kutolewa.
Chongolo, endelea kukaa Chocho, you are a ceremonial Secretary General.
PM, una miezi sita tu kabla Makonda hajaandika memo kwa SSH.
Mpango yupo wapi mkuu. maana ana miezi kadhaa hajaonekana kabisaMakonda atawachezea hao wajinga wenzie wasiojitambua lakini hathubutu kuingia anga za wasomi kama Mpango au Adam Malima!
Wadanganyika, tatizo lenu ni kusahau. Mnakumbuka enzi ya Magufuli wakati Makonda alitaka kuingiza makontena bila kulipa ushuru akidai ni vifaa vya shule kumbe uongo!! Mpango wakati huo alikuwa waziri wa fedha ; alimgomea katakata kuingiza yale makontena bila kulipa ushuru na alimpa ultimatum Magufuli kuwa kama Makonda asingelipa ushuru wa yale makontena angejiuzuru uwaziri wa fedha!! Ilibidi alipie ushuru yale makontena. Huyo ndio Mpango kwa wale wasiomjua.
Samia anatakiwa kulitolea tamko alıko Philip Mpango! Kukaa kimya kunazusha tetesi potofu!Mpango yupo wapi mkuu. maana ana miezi kadhaa hajaonekana kabisa
Kwa qualifications zipi Sasa?Mhhh! Msimjaze ujinga kijana wa watu japo za chini nasikia jamaa anasoma Pd ujeruman.
Hata akitoka kashapiga sana mpunga na ana miradi kibao mwache atumbuliweKiswaswadu ameshawekwa kwenye kilengeo kudadadadeq