Hadi bajeti ya Tanzania, Uganda na Rwanda ziunganishwe ndio zifikie ya Kenya


Saa zingine mie huchoka kujibu umburula
 

Wakati wa Moi bajeti ya Kenya hata haikufika $5B, sahii pengo kati ya bajeti ya Kenya na Tz ni $9B na bado unasema pengo linapunguka. Hivi wewe unafikiria kwa akili ama kwa mapua?
 
Wakati wa Moi bajeti ya Kenya hata haikufika $5B, sahii pengo kati ya bajeti ya Kenya na Tz ni $9B na bado unasema pengo linapunguka. Hivi wewe unafikiria kwa akili ama kwa mapua?

Hivi umeandika Kiswahili au kikuyu.Kama wakati wa Moi bajeti ilikuwa haifiki $ 5B, umewahi kujiuliza wakati wa A H Mwinyi bajeti ya Tanzania ilikuwa $ ngapi ?.
 
Hivi umeandika Kiswahili au kikuyu.Kama wakati wa Moi bajeti ilikuwa haifiki $ 5B, umewahi kujiuliza wakati wa A H Mwinyi bajeti ya Tanzania ilikuwa $ ngapi ?.
we dont know but as a person am pretty sure haikua _$2B ndio imake hiyo difference ya $7B iko sahii....unless thats true then its obvious the gap inaongezeka
 
Wakati wa Moi bajeti ya Kenya hata haikufika $5B, sahii pengo kati ya bajeti ya Kenya na Tz ni $9B na bado unasema pengo linapunguka. Hivi wewe unafikiria kwa akili ama kwa mapua?

Hawa akina Ngongo ni wakuhurumiwa tu, yaani tangu lini tofauti ya bajeti ya Kenya na Tanzania ikawa zaidi ya ilivyo sasa. Yaani tofauti ya sasa ya $9B
bajeti yetu leo ni karibia mara mbili ya bajeti yao halafu wanasema pengo linazidi kupungua. Hawa watu vioja na wakuhurumiwa.
 
Wa Tzn tuache kukomaa na Kenya wakati ukweli uko wazi wameendelea kupita sie,turudi kujadili mambo yetu mfano hivi nini economical rationale ya kuwapa wachina prime area ya kurasini eti wajenge magodwns ya bidhaa zao ndio tuwe tunaenda kununua hapo badala ya China.Naomba kuuliza hivi hiyo ndio project ya kujenga uchumi wa viwanda au upuuzi mtupu? Tubishane kwa mambo haya sio kuhusu bajeti ya Kenya
 
Kenya, mmeshalipa Euro bonds? Waangalieni Ghana na Mozambique wanaendeleaje
 

Euro Bonds ni sehemu ya hiyo budget?
 
We Towashi wa 2, hebu nipe elimu yako kwanza? Eti Tanzania inawategemea Kenya kwa mazao ghafi, unaweza kuleta ushahidi wa unachosema! Kenya hii yenye njaa kila mwaka?
Nimepita Kibaigwa juzi Wakenya kibao wamefata mahindi, nichukue fursa hii kuwakumbusha wahusika zile mashine za kupepeta mahindi mkazitengeneze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…