MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mchungaji huyu ambaye huenda kushauri hadi ikulu anadiriki kuchekelea idadi ya waathirika Kenya, halafu watu wanamshabikia, mtu kama huyu ndiye anategemewa kuongoza taifa kwenye maombi.
Huu ni wakati wa kuchukua tahadhari, acheni vya hovyoo, hiki kirusi hakijui mipaka wala utaifa, hata maombi sidhani kama yatafanya kazi maana dunia imejaa maasi.
Hii video inauma kwa kweli.
Facebook
Huu ni wakati wa kuchukua tahadhari, acheni vya hovyoo, hiki kirusi hakijui mipaka wala utaifa, hata maombi sidhani kama yatafanya kazi maana dunia imejaa maasi.
Hii video inauma kwa kweli.