MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #41
Trust me ,,,, chini ya kapeti Kenya wagonjwa wafika 470
Send by APOLO 1
470 mbona kidogo, tulitabiriwa na wataalam kwamba tutakua na waathirika 10,000 kwa mwezi huu wa April, tukajipanga kwa kila namna, leo hii tunapima watu 1,000 na kugundua waathirika 10 tu, nyie hapo kwa mpigo mmoja ndani ya masaa 24 mnaibuka na waathirika 53, ina maana mnaogelea kwenye hicho kitu.