Hadi Kenya inabezwa kanisani kule Tanzania, ndugu zetu huu ujasiri mnautoa wapi?

Hadi Kenya inabezwa kanisani kule Tanzania, ndugu zetu huu ujasiri mnautoa wapi?

Kenya namba zashuka licha ya kuchukua tahadhari TOKA MWANZO? Cases ni ngapi na fatalities ni ngapi?
Mkuu, hii sio ligi.

Kenya tunapima 800 kwa siku, hivyo lazima namba zipandishe
Jiulize tunapima watu 800 ndani ya masaa 24 na kupata waathirika sita (6)
Nyie ambao mlikua mnapima kumi kwa siku, sasa sijui mumejitumia na kupima wangapi kwa siku hadi mpate waathirika 53 kwa mkupuo ndani ya masaa 24
Chukueni tahadhari, acheni ukaidi, sisi wote ni waumini wa Mungu, na tumechukua tahadhari, hatusongamani kwenye makanisa wala misikitini, vilabu vya pombe vimefungwa, mkikutwa zaidi ya watu tano mumesongamana mnakamatwa, tumia hekima acheni ukaidi.

Kuna hii tweet inazunguka kwenye mitandao, isklize kisha uombe na kuchukua tahadhari, wahubirie ndugu zako huu sio muda wa kubweteka
 
Kenya tunapima 800 kwa siku, hivyo lazima namba zipandishe
Jiulize tunapima watu 800 ndani ya masaa 24 na kupata waathirika sita (6)
Nyie ambao mlikua mnapima kumi kwa siku, sasa sijui mumejitumia na kupima wangapi kwa siku hadi mpate waathirika 53 kwa mkupuo ndani ya masaa 24
Chukueni tahadhari, acheni ukaidi, sisi wote ni waumini wa Mungu, na tumechukua tahadhari, hatusongamani kwenye makanisa wala misikitini, vilabu vya pombe vimefungwa, mkikutwa zaidi ya watu tano mumesongamana mnakamatwa, tumia hekima acheni ukaidi.

Kuna hii tweet inazunguka kwenye mitandao, isklize kisha uombe na kuchukua tahadhari, wahubirie ndugu zako huu sio muda wa kubweteka

Ngoja kwanza,
Hivi huyu Robert si ndio yule serikali yenu ilimkamata kwa kutoa taarifa za uongo kuhusu corona?

Robert Alai charged over false claims about coronavirus deaths in Mombasa - Citizentv.co.ke
Iweje uamini kuwa hiyo tweet ina ukweli kisa tu inahusu Tanzania ila akipost kuhusu kenya mnamuona ni muongo?
 
Updates za Tz ziko nyingi sana, ni vigumu kuleta humu, tutajaza server za watu bure.
Hapa naleta ambazo kiaina zinaigusa Kenya au kwa namna moja au nyingine zina kitu kinachoweza kujadiliwa na Wakenya, kama hii mnabeza Kenya mpaka makanisani halafu mnasema mnaomba.
This is the same pastor that his sex tapes leaked last year, akubali tu aseme ni sadaka anataka kuendelea kupata, we are the church and thats jus a building

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#ze comedy show....
IMG_20200418_132002.jpg



halafu matokeo yake.........

IMG_20200418_131709.jpg
 
Huyu jamaa nahisi ana vimelea vya Tz, hata kiswahili chake kimenyooka kama cha wabongo. Najua wamombasa tunafanana nao kwa mengi ila huyu kazidi.

Mkuu, suala la kubeza usitegemee kila mTz au kila binadamu ataongea vizuri kuhusu kenya. Hata nyie mbona mmemuita rais wetu stuborn ila freshi tu. Ni neno la kawaida hilo ila chombo kikubwa cha habari kumuita rais wa jirani hivyo ni fedheha, hatujamaindi kivile sababu tunajua ndio binadamu walivyo, wataongea watakavyo na huwezi wazuia.
hivyo basi tulieni nanyi kwenye kiti cha salumi kama mnamyolewa mkisikiliza MAWAIDHA ya huyo mchungaji mwenye maono makali akiwanywesha dawa.

Anajitahidi sana, ila bado ana matatizo ya kiufundi ya hapa na pale ukimsoma vyema.

Mkenya ni Mkenya tu.
 
Pamoja na Wakenya kuwa watu wa fix sana, lakini katika thread hii nawaunga mkono kwa yote.
Kwenye issue ya corona tumekuwa taifa LA ajabu sana
 
Safari bado ni mbichi tuweke akiba ya maneno
Updates za Tz ziko nyingi sana, ni vigumu kuleta humu, tutajaza server za watu bure.
Hapa naleta ambazo kiaina zinaigusa Kenya au kwa namna moja au nyingine zina kitu kinachoweza kujadiliwa na Wakenya, kama hii mnabeza Kenya mpaka makanisani halafu mnasema mnaomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais kusemwa akikaidi mbona inasemwa kote, Trump alikaidi na kupuuza maoni ya wataalam, kirusi kimeipiga Marekani mpaka wigi zimemsimama, leo anasemwa sana.
Hilo sio tusi ukiangalia kwa mtazamo wa Kikenya, maana huku tumezoea kumsema rais wetu akiboronga, matamko ya rais wenu kuruhusu muendelee na mibanano kwenye makanisa, hapo ni wazi alikadi na kupuuza ushauri wa kitaalam na ingetamkwa na rais wetu Uhuru aisei angetafuta pakutokea maana angesemwa na Wakenya hadi achoke.
Tatizo kwenu mumesahau urais ni taasisi ya umma mpaka mumekua too personal, hamtaki kumshauri, kila siku mnamuimbia misifa na mapambio hata kwenye mambo ya kutisha kama haya ya sasa. Utakuta wataalam wenu wote kimyaaaa!!!
Nyang"au acha uongo mbona nyinyi kila kitu mmeshindwa? Mlianza na lockdown mpaka mkauana kwa risasi lakini hamkufanikiwa sasa mnahangaika na curfew nayo bado maambukizi yanaendelea tu.
 
Pamoja na Wakenya kuwa watu wa fix sana, lakini katika thread hii nawaunga mkono kwa yote.
Kwenye issue ya corona tumekuwa taifa LA ajabu sana
Kwani wewe lipi zuri la watz ulishawaunga mkono? Wewe msaliti na fisadi mkubwa umebanwa unafikiri corona italegeza mambo? Hakuna kitu utaendelea kuumia tu hadi mwisho!
 
Nyang"au acha uongo mbona nyinyi kila kitu mmeshindwa? Mlianza na lockdown mpaka mkauana kwa risasi lakini hamkufanikiwa sasa mnahangaika na curfew nayo bado maambukizi yanaendelea tu.

Dunia kwa sasa hakuna anayeweza kusema ameshinda, hata kule China ilikoanzia bado inaibuka ibuka, Wamarekani wenye mifumo bora ya kila aina leo hii wanateswa kupita maelezo, sisi tunatia juhudi na mpaka sasa kidogo tumeona afueni maana tunapima watu 1,000 kwa masaa 24 na kugundua waathirika 10 pekee
Nyie hapo mlikua mumeganda kwenye kupima 10 kwa siku, sasa hivi itakua labda mumejitutumua na kupima 100 kwa siku, ila watu 100 unapata waathirika 53, ni wazi huo uwiano ni hatari na ina maana mnaogelea kwa kirusi.

Recordings kama hizi zinatisha

 
Sisi ni majitu majinga sn bado utashangaa anaendelea kupata waumini badala ya kumpiga mawe
 
Rais kusemwa akikaidi mbona inasemwa kote, Trump alikaidi na kupuuza maoni ya wataalam, kirusi kimeipiga Marekani mpaka wigi zimemsimama, leo anasemwa sana.
Hilo sio tusi ukiangalia kwa mtazamo wa Kikenya, maana huku tumezoea kumsema rais wetu akiboronga, matamko ya rais wenu kuruhusu muendelee na mibanano kwenye makanisa, hapo ni wazi alikadi na kupuuza ushauri wa kitaalam na ingetamkwa na rais wetu Uhuru aisei angetafuta pakutokea maana angesemwa na Wakenya hadi achoke.
Tatizo kwenu mumesahau urais ni taasisi ya umma mpaka mumekua too personal, hamtaki kumshauri, kila siku mnamuimbia misifa na mapambio hata kwenye mambo ya kutisha kama haya ya sasa. Utakuta wataalam wenu wote kimyaaaa!!!
Umeongea vizuri sana,wewe ni miongoni mwa wakenya wachache wanaoipenda Tanzania,but unaamini njia ya kuzuia huu ugonjwa ni kuzuia misongamano
 
Kuna wakati tulkua tunapata +ve cases zaidi ya 20 kwa tests chini ya 500 lakini kwa mikakati tuliyoweka hivi sasa cases zinaaverage 10 in a bigger sample(leo na jana tumefanya tests zaidi ya 1000 kwa siku)...so its working for us tumezuia maambukizi kugrow na rate kubwa
Nyang"au acha uongo mbona nyinyi kila kitu mmeshindwa? Mlianza na lockdown mpaka mkauana kwa risasi lakini hamkufanikiwa sasa mnahangaika na curfew nayo bado maambukizi yanaendelea tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia kwa sasa hakuna anayeweza kusema ameshinda, hata kule China ilikoanzia bado inaibuka ibuka, Wamarekani wenye mifumo bora ya kila aina leo hii wanateswa kupita maelezo, sisi tunatia juhudi na mpaka sasa kidogo tumeona afueni maana tunapima watu 1,000 kwa masaa 24 na kugundua waathirika 10 pekee
Nyie hapo mlikua mumeganda kwenye kupima 10 kwa siku, sasa hivi itakua labda mumejitutumua na kupima 100 kwa siku, ila watu 100 unapata waathirika 53, ni wazi huo uwiano ni hatari na ina maana mnaogelea kwa kirusi.

Recordings kama hizi zinatisha


huko Kibera serikali ya Ukunya inahesabu maiti?
 
Rais kusemwa akikaidi mbona inasemwa kote, Trump alikaidi na kupuuza maoni ya wataalam, kirusi kimeipiga Marekani mpaka wigi zimemsimama, leo anasemwa sana.
Hilo sio tusi ukiangalia kwa mtazamo wa Kikenya, maana huku tumezoea kumsema rais wetu akiboronga, matamko ya rais wenu kuruhusu muendelee na mibanano kwenye makanisa, hapo ni wazi alikadi na kupuuza ushauri wa kitaalam na ingetamkwa na rais wetu Uhuru aisei angetafuta pakutokea maana angesemwa na Wakenya hadi achoke.
Tatizo kwenu mumesahau urais ni taasisi ya umma mpaka mumekua too personal, hamtaki kumshauri, kila siku mnamuimbia misifa na mapambio hata kwenye mambo ya kutisha kama haya ya sasa. Utakuta wataalam wenu wote kimyaaaa!!!
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NI mataifa mengi sana wamesimamisha chochote ambacho huleta watu wengi pamoja....
Wakati huyu pastor alikua ana tamka haya maneno, Tanzania ilikua na kesi 20 pekee za corona, ningependa kusikia matamko yake ya sasa vile Tz imeipita Uganda, Ethiopia, Rwanda kwa kesi za corona.. nchi za ukanda huu ambazo zote zimebania watu kwenda makanisani
 
Sisi watz ni majitu majinga tuacheni endeleeni na mambo yenu ya maana na rais wenu wa maana
 
Dunia kwa sasa hakuna anayeweza kusema ameshinda, hata kule China ilikoanzia bado inaibuka ibuka, Wamarekani wenye mifumo bora ya kila aina leo hii wanateswa kupita maelezo, sisi tunatia juhudi na mpaka sasa kidogo tumeona afueni maana tunapima watu 1,000 kwa masaa 24 na kugundua waathirika 10 pekee
Nyie hapo mlikua mumeganda kwenye kupima 10 kwa siku, sasa hivi itakua labda mumejitutumua na kupima 100 kwa siku, ila watu 100 unapata waathirika 53, ni wazi huo uwiano ni hatari na ina maana mnaogelea kwa kirusi.

Recordings kama hizi zinatisha

Trust me ,,,, chini ya kapeti Kenya wagonjwa wafika 470

Send by APOLO 1
 
Back
Top Bottom