Hadi Kenya inabezwa kanisani kule Tanzania, ndugu zetu huu ujasiri mnautoa wapi?

Hadi Kenya inabezwa kanisani kule Tanzania, ndugu zetu huu ujasiri mnautoa wapi?

Hawa Watanzania na huu ukaidi wao kutoka kwa viongozi mpaka watu wa chini yaani ni wa kuhurumiwa tu, hiki kitu wamekichukulia poa na kukiita kaugonjwa, mimi mwenyewe licha ya juhudi zetu zote hapa Kenya bado najikuta nikijutia kwanini sikuchomoka na familia yangu mapema na kwenda kijijini kabla Nairobi haijafungwa.

The most important first step in defeating this thing is FEAR, we must fear it, must get really really scared, that way people will be precautious in every step of the way. Assume the damn virus is on every surface you touching, every human being you're interacting with, fear is a very important emotion in times like this, helps one to stay away from unnecessary activities.
Kwanini unalazimisha tufanane nanyi?
Hao wanaotolewa data wamepatikana kwa kuhisiwa au kipimo? Kama ni kipimo unafahamu ni idadi ngapi hupimwa kufikia hao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu nimekuomba mara kadhaa achana na mambo ya kuandika ushindani baina ya nchi hizi, hayasaidii kwa nama unavyopresent. Hebu nikuulize, unadhani mtazamo wa mtu au kikundi kimoja juu ya Kenya au Tanzania unatosha kuakisi mtazamo wa nchi? Au unadhani mtu au kikundi kimoja kinapokuwa kimetoa maneno au tamko, je, hakuna wananchi wengine ambao wapo kinyume na mtazamo huo? Wakati mwingine ni kupotezea tu, hakuna haja ya kubeba mambo kiujumla

Huwa najibu hoja za humu ndani ambapo asilimia 90% mna mitazamo iliyosheheni chuki, hivyo lazima mjibiwe on equal measures.
 
Huwa najibu hoja za humu ndani ambapo asilimia 90% mna mitazamo iliyosheheni chuki, hivyo lazima mjibiwe on equal measures.
Sasa ngoja nikupe tips. Asilimia kubwa ya watu waliomo humu ni wapinzani wa serikali hii, na hata hatua nyingi zinazochukuliwa na serikali wengine huzipinga tu kwa kuwa ni wapinzani. Lakini linapokuwa limeibuka suala la nchi kukashifiwa na nchi nyingine, basi maoni yao unaweza kudhani wapo pamoja na msimamo wa serikali! Hebu soma uzi huu uwajue watu wa humu:

Je, utampa Magufuli kura yako msimu ujao? - JamiiForums
 
Dunia kwa sasa hakuna anayeweza kusema ameshinda, hata kule China ilikoanzia bado inaibuka ibuka, Wamarekani wenye mifumo bora ya kila aina leo hii wanateswa kupita maelezo, sisi tunatia juhudi na mpaka sasa kidogo tumeona afueni maana tunapima watu 1,000 kwa masaa 24 na kugundua waathirika 10 pekee
Nyie hapo mlikua mumeganda kwenye kupima 10 kwa siku, sasa hivi itakua labda mumejitutumua na kupima 100 kwa siku, ila watu 100 unapata waathirika 53, ni wazi huo uwiano ni hatari na ina maana mnaogelea kwa kirusi.

Recordings kama hizi zinatisha

Hii wanasema ni fake news but their numbers of late shows that this is what is in the ground, my Tanzanian pal told me 2 people collapsed and died yesterday, its sad

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchungaji huyu ambaye huenda kushauri hadi ikulu anadiriki kuchekelea idadi ya waathirika Kenya, halafu watu wanamshabikia, mtu kama huyu ndiye anategemewa kuongoza taifa kwenye maombi.

Huu ni wakati wa kuchukua tahadhari, acheni vya hovyoo, hiki kirusi hakijui mipaka wala utaifa, hata maombi sidhani kama yatafanya kazi maana dunia imejaa maasi.

Hii video inauma kwa kweli.



Facebook

hqdefault.jpg


michuzijr_60972817_148512542951570_1144757953477379838_n.jpg
Mtani huyu wa maharage ya jana asikuumizwe kichwa huwa yanamtoka kama kanywa maji ya chooni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi kuomba Nyumbani tutadanganyana maana wengine wamezoea kushika Biblia Jumapili kwa Jumapili tu mpaka akienda Kanisani ndio asome Biblia, sasa mru kama huyo ukimwambia asiende Kanisani aombee nyumbani ndio kabisaa hata omba kabisa tutakuwa tunajidannganya

Kanisa sio majengo, ila ipo ndani ya mioyo yetu, rais wetu alishatuagiza tuendelee kuomba ila tukiwa kwenye nyumba zetu, nyie mumeambiwa muombe ila mkikusanyika huko huko kansani na kupumuliana.
Kama wewe ni Mkristo kasome Hosea 4:6
 
Wengi kuomba Nyumbani tutadanganyana maana wengine wamezoea kushika Biblia Jumapili kwa Jumapili tu mpaka akienda Kanisani ndio asome Biblia, sasa mru kama huyo ukimwambia asiende Kanisani aombee nyumbani ndio kabisaa hata omba kabisa tutakuwa tunajidannganya
Mtu wa hivyo hata ndiye abaki nyumbani kabisaaa, haya maombi yafanywe na mashujaa wa imani, wanaofunga kunywa na kula na maombi kila siku, kuna baadhi yetu ni mzigo kwa wengine kwenye hii safari.
 
Kuna rais wa nchi moja iko Afrika mashariki, kwenye suala la corona jamaa kafeli vibaya mno. Kaonyesha hakufaa hata kuwa balozi wa mtaa achilia mbali urais.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale maambukizi kwao yanasomeka mengi kisa wanapima, nyie sasa hivi kila mkipima kidogo tu mnaibuka na namba za kiajabu, je mkipata uwezo wa kupima watu 1,000 kwa siku kama tunavyofanya, au hata muwezeshwe kupima kama Ulaya???
Hiki kitu uongozi wenu ulibugi sana kwa kukaidi maana Watanzania wataishia kuwalaumu sana, mataifa mengine wananchi wote wamekua kimoja maana viongozi wao walichukua misimamo ya tahadhari na kuihamasisha, ila nyie mkajifanya tofauti na kukaidi, sasa wananchi watawaona kama adui badala ya kuelekeza hasira zao kwa Corona.
Kwa hili mlishauriwa vibaya MaCCM.
Acha uongo kwaiyo tusipo Pima atupati tatizo maana siku ni nyingi huu ugonjwa aujifichi baada ya kuambukizwa siku 14 mwenyewe utatafuta hospital na kuhusu wagonjwa ndiyo wataongezeka ila sisi hatuna tatizo hata kama watafika 10000 tutajua cha kufanya

Send by APOLO 1
 
Ndugu yangu nimekuomba mara kadhaa achana na mambo ya kuandika ushindani baina ya nchi hizi, hayasaidii kwa nama unavyopresent. Hebu nikuulize, unadhani mtazamo wa mtu au kikundi kimoja juu ya Kenya au Tanzania unatosha kuakisi mtazamo wa nchi? Au unadhani mtu au kikundi kimoja kinapokuwa kimetoa maneno au tamko, je, hakuna wananchi wengine ambao wapo kinyume na mtazamo huo? Wakati mwingine ni kupotezea tu, hakuna haja ya kubeba mambo kiujumla
Wakenya wengi wapo hivyo towards Tz. Nenda huko twitter uone walivyoishikia debe iyo clip.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia kwa sasa hakuna anayeweza kusema ameshinda, hata kule China ilikoanzia bado inaibuka ibuka, Wamarekani wenye mifumo bora ya kila aina leo hii wanateswa kupita maelezo, sisi tunatia juhudi na mpaka sasa kidogo tumeona afueni maana tunapima watu 1,000 kwa masaa 24 na kugundua waathirika 10 pekee
Nyie hapo mlikua mumeganda kwenye kupima 10 kwa siku, sasa hivi itakua labda mumejitutumua na kupima 100 kwa siku, ila watu 100 unapata waathirika 53, ni wazi huo uwiano ni hatari na ina maana mnaogelea kwa kirusi.

Recordings kama hizi zinatisha


Mtasubiri sana na video zenu sisi tunaendelea kupigakazi. Hapa Kazi Tu
 
Back
Top Bottom