Trust me ,,,, chini ya kapeti Kenya wagonjwa wafika 470
Send by APOLO 1
Korona siyo power full kwa MTU mweusi kama mweupe kuna mambo mengi yana saidia mfano tz tunaendelea na kazi kama kawaida bila hadhali kubwa ila maambukizi ni bado chini tofauti na ulaya ,licha ya wao kuchukua hatua Kali na kubwa sana wagonjwa ni wengi sana470 mbona kidogo, tulitabiriwa na wataalam kwamba tutakua na waathirika 10,000 kwa mwezi huu wa April, tukajipanga kwa kila namna, leo hii tunapima watu 1,000 na kugundua waathirika 10 tu, nyie hapo kwa mpigo mmoja ndani ya masaa 24 mnaibuka na waathirika 53, ina maana mnaogelea kwenye hicho kitu.
Mkuu Sio huyu tuu, Wakenya wengi wanaifuatilia sana Tz kuliko nchi yao. Kuna jamaa mmoja anaitwa Miguna..huyo bora tumpe uraia wa lazima maana Tz imemkaba koo haswa.
Ila kuna usemi, "mti wenye matunda hulengwa mawe"
Korona siyo power full kwa MTU mweusi kama mweupe kuna mambo mengi yana saidia mfano tz tunaendelea na kazi kama kawaida bila hadhali kubwa ila maambukizi ni bado chini tofauti na ulaya ,licha ya wao kuchukua hatua Kali na kubwa sana wagonjwa ni wengi sana
Send by APOLO 1
84 cases in a day na hata hampimi wengi.
Kanisa sio majengo, ila ipo ndani ya mioyo yetu, rais wetu alishatuagiza tuendelee kuomba ila tukiwa kwenye nyumba zetu, nyie mumeambiwa muombe ila mkikusanyika huko huko kansani na kupumuliana.
Kama wewe ni Mkristo kasome Hosea 4:6
Tanzania sio Kenya acha kufananisha nchi yetu na upumbavu..Rais kusemwa akikaidi mbona inasemwa kote, Trump alikaidi na kupuuza maoni ya wataalam, kirusi kimeipiga Marekani mpaka wigi zimemsimama, leo anasemwa sana.
Hilo sio tusi ukiangalia kwa mtazamo wa Kikenya, maana huku tumezoea kumsema rais wetu akiboronga, matamko ya rais wenu kuruhusu muendelee na mibanano kwenye makanisa, hapo ni wazi alikadi na kupuuza ushauri wa kitaalam na ingetamkwa na rais wetu Uhuru aisei angetafuta pakutokea maana angesemwa na Wakenya hadi achoke.
Tatizo kwenu mumesahau urais ni taasisi ya umma mpaka mumekua too personal, hamtaki kumshauri, kila siku mnamuimbia misifa na mapambio hata kwenye mambo ya kutisha kama haya ya sasa. Utakuta wataalam wenu wote kimyaaaa!!!
Mkishatusema mnatubadilisha nini?Mtuhubiri mpaka kwenye makanisa halafu tusiwaseme.
Mkishatusema mnatubadilisha nini?
Mnajaribu kufananisha Tanzania ni huo ujinga wenu huko kwa kila jambo na hamtosheki, ombeni uraia mpate hifadhi.
Hiki kipindi kila nchi inapambana kwa namna yake, nyie mamburula mnatafuta ulinganifu kwa kila jambo vile mpate kusema.
Kila nchi ishinde mechi zake achaneni na Tanzania wapuuzi ninyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani aliekufunga kamba uende ukakusanyike?Hi
Hiyo ndio maana halisia ya kanisa. La kuhuzunisha ni pale watu wanakongamana kwa ajili ya maombi halafu wanapageuza kikao cha kukejeli na kusabasi. Bali na kero, ni kufuru kiaina mbele ya mwenyezi mungu!..
Na nyie wenye namba kubwa mlifanya uzembe wapi?Kwa sasa sidhani kama wahubiri wenu hao watakua na ujasiri wa kuibeza Kenya tena maana namba zenu zinanapandisha kwenye kirusi, uzembe wa kutokuchukua tahadhari utawaweka wahubiri wenu kuwa busy kidogo, kesho msongamane kwenye hayo makanisa muone shughuli yake, mfahamu hekima tumepewa na Mungu tuitumie.
Atakuambia namba inazidi vile wanapima as if Tanzania tunahisiaKenya namba zashuka licha ya kuchukua tahadhari TOKA MWANZO? Cases ni ngapi na fatalities ni ngapi?
Mkuu, hii sio ligi.
Kwahiyo Tanzania inaassume bila vipimo au mpaka utangaziwe wewe lofa?Kenya tunapima 800 kwa siku, hivyo lazima namba zipandishe
Jiulize tunapima watu 800 ndani ya masaa 24 na kupata waathirika sita (6)
Nyie ambao mlikua mnapima kumi kwa siku, sasa sijui mumejitumia na kupima wangapi kwa siku hadi mpate waathirika 53 kwa mkupuo ndani ya masaa 24
Chukueni tahadhari, acheni ukaidi, sisi wote ni waumini wa Mungu, na tumechukua tahadhari, hatusongamani kwenye makanisa wala misikitini, vilabu vya pombe vimefungwa, mkikutwa zaidi ya watu tano mumesongamana mnakamatwa, tumia hekima acheni ukaidi.
Kuna hii tweet inazunguka kwenye mitandao, isklize kisha uombe na kuchukua tahadhari, wahubirie ndugu zako huu sio muda wa kubweteka
Ngoja kwanza,
Hivi huyu Robert si ndio yule serikali yenu ilimkamata kwa kutoa taarifa za uongo kuhusu corona?
Robert Alai charged over false claims about coronavirus deaths in Mombasa - Citizentv.co.ke
Iweje uamini kuwa hiyo tweet ina ukweli kisa tu inahusu Tanzania ila akipost kuhusu kenya mnamuona ni muongo?
This is the same pastor that his sex tapes leaked last year, akubali tu aseme ni sadaka anataka kuendelea kupata, we are the church and thats jus a building
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia kwa sasa hakuna anayeweza kusema ameshinda, hata kule China ilikoanzia bado inaibuka ibuka, Wamarekani wenye mifumo bora ya kila aina leo hii wanateswa kupita maelezo, sisi tunatia juhudi na mpaka sasa kidogo tumeona afueni maana tunapima watu 1,000 kwa masaa 24 na kugundua waathirika 10 pekee
Nyie hapo mlikua mumeganda kwenye kupima 10 kwa siku, sasa hivi itakua labda mumejitutumua na kupima 100 kwa siku, ila watu 100 unapata waathirika 53, ni wazi huo uwiano ni hatari na ina maana mnaogelea kwa kirusi.
Recordings kama hizi zinatisha
Ndugu yangu nimekuomba mara kadhaa achana na mambo ya kuandika ushindani baina ya nchi hizi, hayasaidii kwa nama unavyopresent. Hebu nikuulize, unadhani mtazamo wa mtu au kikundi kimoja juu ya Kenya au Tanzania unatosha kuakisi mtazamo wa nchi? Au unadhani mtu au kikundi kimoja kinapokuwa kimetoa maneno au tamko, je, hakuna wananchi wengine ambao wapo kinyume na mtazamo huo? Wakati mwingine ni kupotezea tu, hakuna haja ya kubeba mambo kiujumlaMchungaji huyu ambaye huenda kushauri hadi ikulu anadiriki kuchekelea idadi ya waathirika Kenya, halafu watu wanamshabikia, mtu kama huyu ndiye anategemewa kuongoza taifa kwenye maombi.
Upumbavu wako ninaouona hapa ni kujaribu kujisifia zaidi namna mnavopimana huna jingineWale maambukizi kwao yanasomeka mengi kisa wanapima, nyie sasa hivi kila mkipima kidogo tu mnaibuka na namba za kiajabu, je mkipata uwezo wa kupima watu 1,000 kwa siku kama tunavyofanya, au hata muwezeshwe kupima kama Ulaya???
Hiki kitu uongozi wenu ulibugi sana kwa kukaidi maana Watanzania wataishia kuwalaumu sana, mataifa mengine wananchi wote wamekua kimoja maana viongozi wao walichukua misimamo ya tahadhari na kuihamasisha, ila nyie mkajifanya tofauti na kukaidi, sasa wananchi watawaona kama adui badala ya kuelekeza hasira zao kwa Corona.
Kwa hili mlishauriwa vibaya MaCCM.