Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

Yule D nyota biashara yake ndio imekufa rasmi............alikuwa anawasaidia wana kuwapereka kwa Trump kwa malipo..............sasa pilau limetiwa dagaa kamba
 
Yule D nyota biashara yake ndio imekufa rasmi............alikuwa anawasaidia wana kuwapereka kwa Trump kwa malipo..............sasa pilau limetiwa dagaa kamba
Sijajua bwana Mdogo Ngabu kama ana Makaratasi ๐Ÿผ
 
Wishing you more life mkuu
 
Huna uhalali ww. Jipe faraja tu kwa sasa.
Magomeni tunakusubiri urudi na singlendi zako utakua dobi wetu huku
Mi sijazamia wewe. Serikali yangu yenyewe inajua nipo huku. Huko Magomeni mtaona manyoya tu. Mkae na linchi lenu lenye ubabaifu mwingi. Huko sirudi ni bora nikimbilie hata Somalia lakini Bongo sirudi katu. Nilisha settle huku kwa watu.
 
We strongly opposed Magufuli, look now, even America is born JPM of its kind, black people don't know what they want, let us be given pills
 
Aisee!

Sikuwa najua kuwa kumbe kuna watu wanaumia sana na uwepo wa Watanzania waishio Marekani.

Sasa nimepata kuelewa kwa nini hata humu, kwa mfano, kuna watu wanakuchukia tu bila hata sababu ya msingi.

Mtu hakujui, hajawahi kukutana na wewe, haijui hata sauti yako ikoje.

Hata ikitokea mmekutana barabarani, hatoweza kujua wewe ndo yule jamaa wa JF anayekuchukia bila hata kukujua.

Hizo chuki zake sasa!

Naona kejeli ni nyingi sana. Kejeli hizo zikirudishwa, wewe unaonekana ni mtu wa kujidai, licha ya kwamba hukuzianzisha wewe hizo kejeli. Ulikuwa unajibu tu mapigo kwa staili ile ile.

Hivi kwa nini mtu uumie moyo na upatwe na kiungulia juu ya mtu ambaye hata humjui?

Ni kwamba maisha yako ni mabaya sana kiasi kwamba ukisikia habari yoyote ile iliyo hasi inayomhusu mtu unayemwonea wivu, unapata faraja ya muda mfupi?

Kuchukia watu ambao huwajui ni ishara ya kutokuwa na furaha maishani mwako. Ni umajinuni.

Hivyo, madhila yoyote unayodhani yanayomkabili mtu unayemchukia, yanakufanya ujisikie hauko peke yako katika magumu unayoyapitia maishani mwako.

Mtaendelea kuumia sana maana misery loves company.

Onwards and upwards.

USA baby ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ

 

Attachments

  • IMG_6240.jpeg
    1.9 MB · Views: 3
H
Hizi nchi hapa chini sijaelewa
 
Kweli Kuna watu Wana wivu Wala sio uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ