Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaaa yeye pamoja na zee la kuogesha vibabu na vibibi vya kizungu Kiranga Tutawapokea airport muda si mrefuMange is going to join us soon
Huna uhalali ww. Jipe faraja tu kwa sasa.Mimi nipo Kihalali huku na sirudi sasa. Bado nipo sana.
Sijajua bwana Mdogo Ngabu kama ana Makaratasi 🐼Yule D nyota biashara yake ndio imekufa rasmi............alikuwa anawasaidia wana kuwapereka kwa Trump kwa malipo..............sasa pilau limetiwa dagaa kamba
Wishing you more life mkuuPersonally.
Kwangu kuna usalama mpaka inatisha.
Ushawahi kuwa salama mpaka ukaona "hapa kuna mtu anani punk nini?".
Yani ile Bob Marley alivyoimba kwenye "Rat Race" "When you think it's peace and safety, a sudden destruction". Ndiyo Peace and Safety ya kwangu saa hizi, mpaka naogopa "a sudden destruction" inaweza kuja.
Mimi Marekani nina uraia na sijawahi kukaa nje ya legal status hata kwa sekunde moja. Halafu naishi kwa kuogooa sheria za watu vibaya sana, everything by the book, naishi ki OG kishua vibaya sana.
Kazi ninazofanya tu zina high level of professionalism na background checks mtu wa ovyo ovyo hawezi hata kupita background checks zake na kuruhusiwa kuzifanya. Yani zile kazi ambazo mtu akiwa na credit mbaya tu, au kikesi cha kijinga tu, au historia ya drug use tu, hawezi kuruhusiwa kufanya.
Ndiyo kwangu.
I live a clean life, I don't even steal cable - Nas "Mastermind".
Ila maisha ni zaidi yangu mimi tu. Vipi wana wa kitaa, wale ambao mikiki yao iko tofauti na hawajapitia njia za kufunga mkanda kote?
Hapo hali ipo tete kwa baadhi ya watu, wachache sana, lakini wapo.
Kuna mwana mmoja anarudishwa. It's all good though, nyumbani kuna network ya kumpokea na kumpa psychological support, kumuanzishia maisha, na huku kuna watu watamtumia vitu vyake.
It's been a good run, all things considered.
Thanks for your concern.
More life.
One.
Rudi tujenge taifa letu pamojaKuna wabongo taarifa kama hii inawapa raha sana.
DuuuSijajua bwana Mdogo Ngabu kama ana Makaratasi 🐼
Mi sijazamia wewe. Serikali yangu yenyewe inajua nipo huku. Huko Magomeni mtaona manyoya tu. Mkae na linchi lenu lenye ubabaifu mwingi. Huko sirudi ni bora nikimbilie hata Somalia lakini Bongo sirudi katu. Nilisha settle huku kwa watu.Huna uhalali ww. Jipe faraja tu kwa sasa.
Magomeni tunakusubiri urudi na singlendi zako utakua dobi wetu huku
Hizi nchi hapa chini sijaelewa🌍🇺🇲 The list of 1,445,549 People To Be Deported By The US.
Also included are the Africans in the US 🇺🇸 facing deportation in 2025.
1. Somalia 🇸🇴 - 4090
2. Mauritania 🇲🇷 - 3822
3. Nigeria 🇳🇬 - 3690
4. Ghana 🇬🇭 - 3228
5. Guinea 🇬🇳 - 1897
6. Cameroon 🇨🇲 - 1736
7. Ethiopia 🇪🇹 - 1713
8. Senegal 🇸🇳 - 1689
9. Liberia 🇱🇷 - 1563
10. Egypt 🇪🇬 - 1461
11. Kenya 🇰🇪 - 1282
12. Ivory Coast 🇨🇮 - 1224
13. DR. Congo 🇨🇩 - 1068
14. Gambia 🇬🇲 - 1035
15. Sudan 🇸🇩 - 1012
16. Eritrea 🇪🇷 - 973
17. Mali 🇲🇱 - 929
18. Congo 🇨🇬 - 745
19. Angola 🇦🇴 - 662
20. Niger 🇳🇪 - 642
21. Zimbabwe 🇿🇼 - 545
22. Morocco 🇲🇦 - 495
23. Burundi 🇧🇮 - 462
24. Tanzania 🇹🇿 - 427
25. Uganda 🇺🇬 - 393
26. South Africa 🇿🇦 - 379
27. Cape Verde 🇨🇻 - 314
28. Algeria 🇩🇿 - 306
29. Burkina Faso 🇧🇫 - 303
30. Togo 🇹🇬 - 301
31. Zambia 🇿🇲 - 174
32. Chad 🇹🇩 - 169
33. Tunisia 🇹🇳 - 160
34. South Sudan 🇸🇸 - 136
35. Benin 🇧🇯 - 102
36. Libya 🇱🇾 - 89
37. Central African Republic 🇨🇫 - 82
38. Gabon 🇬🇦 - 60
39. Rwanda 🇷🇼 -57
40. Malawi 🇲🇼 - 56
41. Guinea Bissau 🇬🇼 - 48
42. Djibouti 🇩🇯 - 29
43. Equatorial Guinea 🇬🇶 - 20
44. Namibia 🇳🇦 - 19
45. Mauritius 🇲🇺 - 15
46. Mozambique 🇲🇿 - 14
47. Botswana 🇧🇼 - 12
48. Lesotho 🇱🇸 - 11
49. Eswatini 🇸🇿 - 6
50. Madagascar 🇲🇬 - 5
51. Seychelles 🇸🇨 - 4
52. Comoros 🇰🇲 - 3
53. Sao Tome and Principe 🇸🇹 - 1
Other notable countries include 👇
India 🇮🇳 - 17940
Russia 🇷🇺 - 3518
Canada 🇨🇦 - 1290
United Kingdom 🇬🇧 - 1157
Germany 🇩🇪 - 571
France 🇫🇷 - 402
Italy 🇮🇹 - 375
Spain 🇪🇸 - 364
Japan 🇯🇵 - 281
Australia 🇦🇺 - 261
Kweli Kuna watu Wana wivu Wala sio uongoAisee!
Sikuwa najua kuwa kumbe kuna watu wanaumia sana na uwepo wa Watanzania waishio Marekani.
Sasa nimepata kuelewa kwa nini hata humu, kwa mfano, kuna watu wanakuchukia tu bila hata sababu ya msingi.
Mtu hakujui, hajawahi kukutana na wewe, haijui hata sauti yako ikoje.
Hata ikitokea mmekutana barabarani, hatoweza kujua wewe ndo yule jamaa wa JF anayekuchukia bila hata kukujua.
Naona kejeli ni nyingi sana. Kejeli hizo zikirudishwa, wewe unaonekana ni mtu wa kujidai, licha ya kwamba hukuzianzisha wewe hizo kejeli. Ulikuwa unajibu tu mapigo kwa staili ile ile.
Hivi kwa nini mtu uumie moyo na upatwe na kiungulia juu ya mtu ambaye hata humjui?
Ni kwamba maisha yako ni mabaya sana kiasi kwamba ukisikia habari yoyote ile iliyo hasi inayomhusu mtu unayemwonea wivu, unapata faraja ya muda mfupi?
Kuchukia watu ambao huwajui ni ishara ya kutokuwa na furaha maishani mwako. Ni umajinuni.
Hivyo, madhila yoyote unayodhani yanayomkabili mtu unayemchukia, yanakufanya ujisikie hauko peke yako katika magumu unayoyapitia maishani mwako.
Mtaendelea kuumia sana maana misery loves company.
Onwards and upwards.
USA baby 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
View attachment 3218063View attachment 3218064