M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Bado US itabaki kuwa na idadi kubwa ya wahamiaji kuliko taifa lolote duniani.Duniani huko kwa wanao jielewa wana sheria zao sio kama kwetu kwa kina kajamba nani Wazambia twende,Wakongo njooni,Wamalawi 😁
Hata Ghana na Cameroon, japo watakachofanya baada ya kurudishwa wataenda nchi nyingine probably wakanufaika zaidi kuliko US manake wengine wanakalia mazoea huku hawapigi mabao kivile.Kwa Kenya na Nigeria ni pigo kwa nchi zao maana mpunga wanaotuma nyumbani hao diaspora ni wa maana!
Hivyo vyote ninavyo Kaka ,ni suala la kumchukua tuChukua RB kabisa,waombe na pingu polisi wakuazime mkuu.
Ni asilimia ndogo mno, walugaluga wanavyoshabikia na roho zao za kichawi wanadhani kila mTZ anarudishwa. Kwa kwa 'wasafiri' hizi kashkash si jambo geni na mtu au familia wanaweza kurudishwa kutoka US after a month or so wakawa Canada au UK au Sweden yaani popote mtu unapata maisha.Kwenye list ukilinganisha na pop. ya Tz aisee it's not that bad.
Umasikini huwasababisha baadhi ya watu kuwa wachawi(kuwa na roho za kichawi).Adui wa mtu mweusi ni mtu mweusi.
Huu uzi una majibu tosha.
Mijitu imejawa furaha kusikika wenzao wanarudi kuja kupigwa na jua la bongo.
Halafu mijitu hii hii, Ndio ya kwanza kuomba michongo ya kwenda mamtoni.
Wamevunja sheria boss, hawakai kihalaliHii inaharibu haki za binadamu kuishi popote ili mradi havunji sheria, hawa wageni wamekaa miaka mingi huko inakuwaje wanarudishwa nchi zao?
Hata kariakoo na upanga wamejaaKwa kweli ukienda Dubai wapo wengi mno,Oman n.k
Wachawi sana.Kuna wabongo taarifa kama hii inawapa raha sana.
🌍🇺🇲 The list of 1,445,549 People To Be Deported By The US.
Also included are the Africans in the US 🇺🇸 facing deportation in 2025.
1. Somalia: 4,090
2. Mauritania: 3,822
3. Nigeria: 3,690
4. Ghana: 3,228
5. Guinea: 1,897
6. Cameroon: 1,736
7. Ethiopia: 1,713
8. Senegal: 1,689
9. Liberia: 1,563
10. Sierra Leone: 1,563
11. Egypt: 1,461
12. Kenya: 1,282
13. Ivory Coast: 1,224
14. DRC: 1,068
15. Gambia: 1,035
16. Sudan: 1,012
17. Eritrea: 973
18. Mali: 929
19. Angola: 662
20. Niger: 642
21. Zimbabwe: 545
22. Morocco: 495
23. Togo: 427
24. Uganda: 393
25. South Africa: 379
26. Rwanda: 338
27. Cape Verde: 314
28. Algeria: 306
29. Burkina Faso: 303
30. Tanzania: 301
31. Zambia: 174
32. Chad: 169
33. Tunisia: 160
34. South Sudan: 136
35. Benin: 102
36. Libya: 89
37. Central African Republic: 82
38. Gabon: 60
39. Djibouti: 29
40. Equatorial Guinea: 20
41. Namibia: 19
42. Mozambique: 14
43. Botswana: 12
44. Lesotho: 11
45. Eswatini: 6
46. Madagascar: 5
47. Seychelles: 4
Other notable countries include 👇
India 🇮🇳 - 17940
Russia 🇷🇺 - 3518
Canada 🇨🇦 - 1290
United Kingdom 🇬🇧 - 1157
Germany 🇩🇪 - 571
France 🇫🇷 - 402
Italy 🇮🇹 - 375
Spain 🇪🇸 - 364
Japan 🇯🇵 - 281
Australia 🇦🇺 - 261
Wamkaushie tuKuna Sao Tome and Principe hapo anarudishwa mtu 1
Ila hili zoezi hata nyumbani tz wameshawahi fanya, nakumbuka warundi, wamsumbiji na waganda walirudishwa sana.Hata kama sina uraia.
Mtu akinirudisha kwetu, hiyo si adhabu na wala si jambo kuleta kejeli, unless uwe una ulimbukeni uliopitiliza.
Viliisha muda na hawakuongeza muda wala hawakurudi makwaoKwanini wanaitwa haramu?
Si waliingia kwa vibali vilivyostahili?
Ila ana vibali halaliHata Trump Marekani sio kwake,,,yeye ni wakuja vilevile.....
Kwa nchi kama marekani hiyo ni idadi ndogo, kuna wengine hapo wamekwepa huo mtego, ile nchi ina watu sio mchezoIdadi ni kubwa sana, mass deportations.
Ina maana kwamba Watu wote hawa kweli hawana Vibali halali vya kuishi Marekani au Utawala wa Trump wameamua tu makusudi kuwafukuza Watu hao hata kama bado wanastahili kupewa nyongeza ya muda wa kuendelea kuishi katika nchi hiyo?
Riziki katafute kihalali
Kwani hapo ishu ni wahamiaji au wahamiaji haramu?Bado US itabaki kuwa na idadi kubwa ya wahamiaji kuliko taifa lolote duniani.
Oh yeah. Nchi nyingi tu huwa zinawarudisha makwao wakazi na wahamiaji haramu.Ila hili zoezi hata nyumbani tz wameshawahi fanya, nakumbuka warundi, wamsumbiji na waganda walirudishwa sana.