Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

Kwa Kenya na Nigeria ni pigo kwa nchi zao maana mpunga wanaotuma nyumbani hao diaspora ni wa maana!
Hata Ghana na Cameroon, japo watakachofanya baada ya kurudishwa wataenda nchi nyingine probably wakanufaika zaidi kuliko US manake wengine wanakalia mazoea huku hawapigi mabao kivile.
Imagine nchi kama Jamaica inavyotegemea diaspora wao kiuchumi.
 
Hili lilikua lazima litokee maana zamani ilikua black Americans tu walikua wanalalamika kazi zao zinachukuliwa na wageni na wanalipwa hela ndogo kwa saa kwakua kulikua na replacements
Mamlaka zikawa kimya ila sasa wameanza wazungu kulia kazi zao za tech zinachukuliwa na raïa wa Asia etc ndio wameona wawe serious,,, Huko Europe ndio balaa especially England imekua kama India🙌🏽
 
Kwenye list ukilinganisha na pop. ya Tz aisee it's not that bad.
Ni asilimia ndogo mno, walugaluga wanavyoshabikia na roho zao za kichawi wanadhani kila mTZ anarudishwa. Kwa kwa 'wasafiri' hizi kashkash si jambo geni na mtu au familia wanaweza kurudishwa kutoka US after a month or so wakawa Canada au UK au Sweden yaani popote mtu unapata maisha.
 
🌍🇺🇲 The list of 1,445,549 People To Be Deported By The US.

Also included are the Africans in the US 🇺🇸 facing deportation in 2025.

1. Somalia: 4,090
2. Mauritania: 3,822
3. Nigeria: 3,690
4. Ghana: 3,228
5. Guinea: 1,897
6. Cameroon: 1,736
7. Ethiopia: 1,713
8. Senegal: 1,689
9. Liberia: 1,563
10. Sierra Leone: 1,563
11. Egypt: 1,461
12. Kenya: 1,282
13. Ivory Coast: 1,224
14. DRC: 1,068
15. Gambia: 1,035
16. Sudan: 1,012
17. Eritrea: 973
18. Mali: 929
19. Angola: 662
20. Niger: 642
21. Zimbabwe: 545
22. Morocco: 495
23. Togo: 427
24. Uganda: 393
25. South Africa: 379
26. Rwanda: 338
27. Cape Verde: 314
28. Algeria: 306
29. Burkina Faso: 303
30. Tanzania: 301
31. Zambia: 174
32. Chad: 169
33. Tunisia: 160
34. South Sudan: 136
35. Benin: 102
36. Libya: 89
37. Central African Republic: 82
38. Gabon: 60
39. Djibouti: 29
40. Equatorial Guinea: 20
41. Namibia: 19
42. Mozambique: 14
43. Botswana: 12
44. Lesotho: 11
45. Eswatini: 6
46. Madagascar: 5
47. Seychelles: 4

Other notable countries include 👇

India 🇮🇳 - 17940
Russia 🇷🇺 - 3518
Canada 🇨🇦 - 1290
United Kingdom 🇬🇧 - 1157
Germany 🇩🇪 - 571
France 🇫🇷 - 402
Italy 🇮🇹 - 375
Spain 🇪🇸 - 364
Japan 🇯🇵 - 281
Australia 🇦🇺 - 261
 
Wahalifu ndio watarudishwa, we maisha uko jela, kodi hulipi, hauna document upo upo tu hilo litakuhusu.
 
Hata kama sina uraia.

Mtu akinirudisha kwetu, hiyo si adhabu na wala si jambo kuleta kejeli, unless uwe una ulimbukeni uliopitiliza.
Ila hili zoezi hata nyumbani tz wameshawahi fanya, nakumbuka warundi, wamsumbiji na waganda walirudishwa sana.
 
Idadi ni kubwa sana, mass deportations.

Ina maana kwamba Watu wote hawa kweli hawana Vibali halali vya kuishi Marekani au Utawala wa Trump wameamua tu makusudi kuwafukuza Watu hao hata kama bado wanastahili kupewa nyongeza ya muda wa kuendelea kuishi katika nchi hiyo?
Kwa nchi kama marekani hiyo ni idadi ndogo, kuna wengine hapo wamekwepa huo mtego, ile nchi ina watu sio mchezo
 
Ila hili zoezi hata nyumbani tz wameshawahi fanya, nakumbuka warundi, wamsumbiji na waganda walirudishwa sana.
Oh yeah. Nchi nyingi tu huwa zinawarudisha makwao wakazi na wahamiaji haramu.

Naamini ukiingia Somalia bila nyaraka halali ukikamatwa utarudishwa tu.
 
Back
Top Bottom