Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

Hapo jana idara ya ICE ilikamata wahamiaji 957 huku waziri wa mambo ya ndani akijiunga hivi leo katika operation hiyo mjini New York
Wanashindwa kuotea wakala kona?!
 
Kuna watu hizi kwao ni habari njema....binadamu bhana.....

1002362750.jpg
 
Idadi ya watanzania wanao ondolewa katika ardhi ya Marekani na kurudishwa nyumbani imetolewa leo na mamlakani ya kudhibiti wahamiaji haramu nchini humo (ICE) chini ya Utawala mpya wa rais Trump.

Hapo jana idara ya ICE ilikamata wahamiaji 957 huku waziri wa mambo ya ndani akijiunga hivi leo katika operation hiyo mjini New York

Karibuni nyumbani sana watanzania

USSR
Nigerians nadhani ndio itakuwa moja ya nchi zenye idad kubwa, after mexico
 
Kwani huyo dada ana tatizo gani? Wabongo wengi hasa nyie wenye vi mia mbili mna ogopa sana kukosolewa sijui kwanini?
Anakosoa au anatukana na kudhalilisha watu?
Au alishabadilika akaacha kutukana watu sahivi anakosoa ? Maana sijamfatilia miaka kadhaa
 
Back
Top Bottom