t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Hakuna nchi ambayo ina mzigo wa kuleta bandari ya darReli ya TAZARA alijenga kihistoria, Mkopo wa ujenzi wa Reli hii ulikamilika kulipwa awamu ya 5 ila hatujui mikataba iliyokaingiwa huko nyuma maana mchina nae mjanja lazima alichungulia fursa ya miaka 100 mbele.
Reli ya kati mkakati wake ni mizigo pamoja na abiria, ni Rahisi sana kupata abiri kwa reli ya kati kuliko Tazara japo sisemi kuwa si bora. Reli ya kati itaenda kutuunganisha na kuboresha biashara kati ya Tanzania na Uganda, Tanzania na Rwanda, Tanzania na Burunduni pamoja na Congo
Kuna inchi kama 4 hapo ambazo zitarahusisha biashara na ndiyo maana awamu iliyopita iliwekeza sana kwenye miundombinu na usafirisha mpaka kwenye maji na ndiyo maana uliona MV Victoria kule Ziwa Victoria inaanza na nyingine inaendelea kuundwa, Ziwa Nyasa pia na Tanganyika.
Issue ni Strategic Plan tu
Burundi ,Rwanda hazina cha ku export ambacho kitakuwa na significant effect.
Tazara ndo ilikuwa reli ya kuitegemea kwa ajili ya kuiweka busy dar port.
Congo wakiamua kisafirisha magogo tu,. Wanaeza kuiweka busy Tazara railway