Mbao Tanzania
Senior Member
- May 31, 2021
- 170
- 215
Habari zetu kupitia JF zinafika mbali sana.
Ishukuriwe platform hii kwa kutusaidia kuonekana kupitia mijadala yenye tija hasa kwa sisi eneo letu la ujenzi na hamasa tunazopeana humu.
Tunapenda kuwajuza tu kuwa Mama Dangote ni miongoni mwa wateja wetu waliofika #MbaoTanzania kuchukua mzigo wa kutosha hivi karibuni. Tunaamini bila shaka taarifa zetu alikutana nazo humu na kuamua kutufungia safari. Siku akirudi tutamuuliza zaidi.
UMBEA KIDOGO
Sasa, kama inavyofahamika si kawaida kumdadisi mteja na ni vyema kutunza siri za wateja (na tunazitunza), lakini kiukweli imetufurahisha kuona Mama huyu amechukua mzigo wa kutosha kiasi cha kujiuliza anajenga ghorofa?
Yes, tunajua mama ni bosslady hapa mjini na tulishawahi kutambulishwa ni moja wa MDs wa Kampuni ya Wasafi. Je, kwa mzigo huu unadhani atakuwa anashusha mjengo wa aina gani, maeneo yapi?
JF ni jungu kuu. Tunasubiri ukoko!
Ishukuriwe platform hii kwa kutusaidia kuonekana kupitia mijadala yenye tija hasa kwa sisi eneo letu la ujenzi na hamasa tunazopeana humu.
Tunapenda kuwajuza tu kuwa Mama Dangote ni miongoni mwa wateja wetu waliofika #MbaoTanzania kuchukua mzigo wa kutosha hivi karibuni. Tunaamini bila shaka taarifa zetu alikutana nazo humu na kuamua kutufungia safari. Siku akirudi tutamuuliza zaidi.
UMBEA KIDOGO
Sasa, kama inavyofahamika si kawaida kumdadisi mteja na ni vyema kutunza siri za wateja (na tunazitunza), lakini kiukweli imetufurahisha kuona Mama huyu amechukua mzigo wa kutosha kiasi cha kujiuliza anajenga ghorofa?
Yes, tunajua mama ni bosslady hapa mjini na tulishawahi kutambulishwa ni moja wa MDs wa Kampuni ya Wasafi. Je, kwa mzigo huu unadhani atakuwa anashusha mjengo wa aina gani, maeneo yapi?
JF ni jungu kuu. Tunasubiri ukoko!