Mbao Tanzania
Senior Member
- May 31, 2021
- 170
- 215
- Thread starter
- #41
Tuna tofauti kubwa ya kifalsafa na hatuwezi kuelewana. Labda makosa yangu nakupa kanuni katika ulimwengu wako usio na kanuni.
A million flies eat shit, they can't be wrong. Who am I to tell them otherwise?
Stage ya kujenga nyumba nilishamaliza miaka mingi sana.
Kutoka nyumbani Dar es salaam mpaka kimataifa New York City.
CONCEITED OLD MAN!