Hadi saa 12 na nusu jioni; Mgombea wa Urais wa CHADEMA anasubiriwa kwenye Mkutano Moshi Mjini

Ratiba ya mkutano wa mgombea Uraisi wa CHADEMA asubiliwa mkutanoni viwanja vya Mashujaa hadi saa moja kumi na mbili jioni. Inasemekana msafara wake toka Tombo umekuwa ukisimamishwa njiani na wananchi.
Kamwambieni lowasa ,mahaba ndio haya sasa.
Yale yake tulikuwa bado tunajifunza mapenz ila hapa ni mahaba mazito
 
LEO MOSHI MJINI PALIKUA HAPAFAI NAONA UWANJANI KULIJAA MPAKA MAGARI YAKABADILISHA NJIA.
JAPO WALIONDOA BENDERA ZOTE ZA CHADEMA NA PICHA ZA WAGOMBEA WA CHADEMA LAKINI LEO WAMEGUNDUA PICHA WALA VITAMBAA HAVIPIGI KURA. KURA ZINAPIGWA NA WANANCHI.
MOSHI MJINI LEO CCM WALIKUA WAPOLE SANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…