Mtumpole
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 2,278
- 1,288
Mwambie tarehe 28/10/2020 Watanzania wengi wana jambo lao.Ratiba ya mkutano wa mgombea Uraisi wa CHADEMA asubiliwa mkutanoni viwanja vya Mashujaa hadi saa kumi na mbili na nusu jioni.
Inasemekana msafara wake toka Rombo umekuwa ukisimamishwa njiani na wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app