Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #41
Kwahiyo unachotaka ni aige marais wengine???
Nyinyi si ndio mnalaumu marais wengine hawajafanya kitu???
Samia hadi sasa anaongoza kwa kudanga tu, kila mwezi lazima akadange,Mradi upi mpya wa Samia? yote mikubwa ameirithi kwa Magufuli.
Mfanyakazi anakamuliwa PAYE kwenye mshahara, akienda kununua anakamuliwa VAT, akilipia LUKU anakamuliwa tozo, akituma mwamala kijijini anakutana na tozo, akienda kujaza mafuta kwenye gari anakutana na tozo......miaka saba hakuna daraja wala nyongeza ya mshahara, ni muda mwafaka kwa wafanyakazi wa nchi hii kupindua meza, na huo uwezo wanao.........Kwani hizi kodi haziwahusu wafanyakazi!!?
Kwani sie tunaounga mkono sio wananchi?Jinga kabisa acha kuwasemea watu wananchi gani wameridhika?
Alikuwa anapora kwa wafanyabiashara Sasa hakuna kupora kila mtu atachangiaMradi mpya wa Samia ni kukusanya tozo tu, hiyo miradi nimesema ni ya Magufuli kwasababu Samia ameirithi na Magufuli alikuwa akiiendesha bila kukusanya hizi tozo, sijui unasifia kitu gani hapo.
Unatokea Kenya nini? Maana maendeleo ya haraka ya Tanzania yanakuuma sana!Umeandika takataka tu.
[emoji1][emoji2][emoji28][emoji3]Utalainika tu mbona!
Itakuja mpaka kodi ya kukalisha tako kwenye sofa la shemeji yako hapo Mbagala kizuian
Hata mm nimefurahia kila mtu achangie japo haijatoa nafuu kwa mfanyakaziMfanyakazi anakamuliwa PAYE kwenye mshahara, akienda kununua anakamuliwa VAT, akilipia LUKU anakamuliwa tozo, akituma mwamala kijijini anakutana na tozo, akienda kujaza mafuta kwenye gari anakutana na tozo......miaka saba hakuna daraja wala nyongeza ya mshahara, ni muda mwafaka kwa wafanyakazi wa nchi hii kupindua meza, na huo uwezo wanao.........
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti SGR ni ya Kikwete [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaposema mradi wa Magufuli unamaanisha nini???
Mradi ni wa Serikali ya CCM iliyoshinda uchaguzi na ilani yake ndo inafanyiwa kazi kwa sasa???
Kibachoangaliwa ni serikali ya nani inatoa hela kutekeleza.
Ukisema hayo basi hata SGR sio mradi wa Magufuli Kwa sababu mipango ilifanywa na JK, Terminal 3 na ndege za ATCL itakuwa sio miradi ya Magufuli maana mipango ilifanywa na JK. Pia Mloganzila na Daraja la kigamboni haitakuwa miradi ya Magufuli maana ilipangwa na kuanza kutekelezwa na JK
Tuombe msamaha. Billion hizo unaleta uzi hapa kweli?Haongei sana bali Anatekeleza sana!
Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya
Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali
Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.
Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.
Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.
Hongera Sana Rais Samia , Naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu
Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya
View attachment 1901606
PAYE iondolewe au ibaki asilimia moja au mbili, ili mfanyakazi achangie VAT na tozo kama wengine wote........hii ya kufyeka mshahara wa mfanyakazi kwenye PAYE ni kumdidimiza from day one....Hata mm nimefurahia kila mtu achangie japo haijatoa nafuu kwa mfanyakazi
Akili mgando kama hizi huwa mnakaa kwa mashemeji.Uwe unataka au hutaki tozo au useme vyovyote unavyojiskia ni kwamba tozo utatoa na zitaleta tija kama unavyoona hapo juu.
Mwisho wa siku credit zitarudi kwa mh.Rais ..kwa akili zako za kipumbavu unadhani wananchi kwenye hizo kata wanakojenga vituo vya afya Wana mawazo ya kipumbavu kama yako?
Hii sio justification ya kuzidisha umasikini kwa watanzania.Unajua takwimu za deni la Taifa kipindi cha awamu ya Tano?
Hao wafanyabiashara waliokuwa wanaporwa fedha za kuendeleza miradi mikubwa ya thamani ya trilion walikuwa wangapi? nyie misukule ndio mizigo ya hili taifa.Alikuwa anapora kwa wafanyabiashara Sasa hakuna kupora kila mtu atachangia