Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
Huyu bwege alikuwa halali usiku kucha anamkosoa Magufuli hata kwa mambo ambayo hayastahili kukosolewa.Yaweza kuwa kweli, itakuwa karudishwa kwenye kiyoyozi sasa ni mwendo wa mapambio.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Ebo hata haibu huna, hakuna jipyaHaongei sana bali Anatekeleza sana!
Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya
Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali
Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.
Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.
Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.
Hongera Sana Rais Samia, naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu
Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya
View attachment 1901606
We ni lisenge kweli. Ndio maana vijana mnakuwa mashoga kwa kushindwa kutambua hata jinsia zenu.Kama vilijengwa kwa nini sasahivi hayo maeneo hayana zahanati na vituo vya Afya?
Sikusema wamejenga kila kijiji kila kataKama vilijengwa kwa nini sasahivi hayo maeneo hayana zahanati na vituo vya Afya?
ndo shida ya kua na makada wa ccm humu mbona mna magrup yenu ya vyama lakini watu maumivu haya jaisha ya tozo mara kodi nyumba mbolea bei bidha za viwandani za vyakula kama mafuta ya kula sabuni chunvi sukari unga wa ngano nk cha ajabu SODA na BIA SIGARA bei iko chini bei za mzao chini pembejeo juuHaongei sana bali Anatekeleza sana!
Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya
Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali
Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.
Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.
Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.
Hongera Sana Rais Samia, naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu
Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya
View attachment 1901606
Kwani kikwete alivojenga shule za sekondari kila kata aliongeza makato kwenye mitandao!??Haongei sana bali Anatekeleza sana!
Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya
Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali
Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.
Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.
Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.
Hongera Sana Rais Samia, naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu
Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya
View attachment 1901606
Nashangaa sababu umekosa consistency mkuu..Kumbe nini? Mie ni Mkristo Mkatoliki
Kwaion unafikiri tunaishi free hatulipi kodi yani, !!!Sasa hao marais ambao hawakufanya hivyo mbona waliacha vituo vya afya vinavyojitosheleza? nyie sindio mnalalamikaga kwamba miaka 60 ya uhuru lakini dawa hakuna hospitalini? sasa mnataka dawa zitoke wapi na kodi hamtaki kulipa
Huyu bwege alikuwa halali usiku kucha anamkosoa Magufuli hata kwa mambo ambayo hayastahili kukosolewa.
Barabara zikijengwa anakosoa, hospitali zikijengwa anakosoa.
Leo anasifia tozo. Eti zikajenge hospitali! Kheee!!
Unyumbu raha kweli. Mtu haeleweki anahitaji nini maishani. Yupo yupo tu!
Alimuua nani? Una ushahidi?Wapi nilimkosoa Magufuli kwa kujenga miundombinu? Ugomvi wangu na Magufuli ulikuwa kwenye kuteka na kuua wakosoaji wake tu! Ulizidi kipimo pale shambulio dhidi ya Tundu Lissu lilipofanyika
Kikwete alitumia mikopo na misaada, Samia anatumia zaidi mapato ya ndani ( Kodi na Tozo) ni ubunifu mzuri zaidiKwani kikwete alivojenga shule za sekondari kila kata aliongeza makato kwenye mitandao!??
Nyie mnachangisha hela kila mtu alaf kwnye wilaya moja mnaishia kujenga tena boma, la zahanati moja!!!!?
Shame on you
Ben Saanane, Rwabaje aliamuru Tundu Lissu auaweAlimuua nani? Una ushahidi?
Na wanajenga nyingi zaidiSikusema wamejenga kila kijiji kila kata
Hata hizi zinazotaka kujengwa ni kumalizia walipoishia wale waliotangulia..
Hilo jamaa nyumbu mno.Nashangaa sababu umekosa consistency mkuu..
Mimi nilijua tatizo la Tanzania ni mifumo kumbe huwa ni mtu
Jinga kweli wewe.Ben Saanane, Rwabaje aliamuru Tundu Lissu auawe
Unataarifa kuwa trilioni 2.7 zimekopwa.Kikwete alitumia mikopo na misaada, Samia anatumia zaidi mapato ya ndani ( Kodi na Tozo) ni ubunifu mzuri zaidi