Hadi sasa waislamu ndio wanaoongoza kwa waumini wengi wenye imani moja Tanzania. Wakristo wamegawanyika madhehebu mengi yasiyo na ushirikiano

Rubish post, stupid content writer !
 
Sifikiri uko sahihi. Imani na dhehebu ni mambo mawili tofauti. Wakristo wote kwa madhehebu yao tofauti wanaamini sawa Mungu baba, mwana na roho mtakatifu. Mengineyo ndiyo mbwembwe za madhehebu. Hata kwenye uislam madhehebu yapo vile vile.
 
Dini zimekuwa biashara
 
Sifikiri uko sahihi. Imani na dhehebu ni mambo mawili tofauti. Wakristo wote kwa madhehebu yao tofauti wanaamini sawa Mungu baba, mwana na roho mtakatifu. Mengineyo ndiyo mbwembwe za madhehebu. Hata kwenye uislam madhehebu yapo vile vile.
Elewa basi kilichoandikwa " ndio wanaoongoza". Sio kwamba hawana madhebu.
 
Hakuna dini inaitwa ukristo. Kuna Katoliki, Lutheran, ufufuo na uzima etc.
 
Waislamu wanazingatia Mungu mmoja, Allah. Huenda ndio imani ya kweli. Wakristu ni Mungu mmoja katika nafsi tatu. Ni nani kamgawa Mungu sehemu tatu? Watu wamekubali na imeenea duniani, sijui ni kwa miugiza gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kuna madhehebu mangapi ya kiislamu?

Je unajua Quran inayotumika Egypt ni tofauti na inayotumika Sudan ya kusini?

Unajua kuwa Quran inayotumiwa na waislam wa Sweden ni tofauti na ya Saudi Arabia?
 
SO WHAAAT!!!???!!!
 
Waislamu wana madhehebu mengi pia.
(1) Sunni
(2) Shia
(3)Ahmadiyya
(4) Aswar Sunni
Na ndani ya madhehebu hayo Kuna mgawanyiko pia.
Mfano: Shia( Kuna wajafariya, waismalia, nk).
Sunni: waserafi, wasufii, nk.( Nisahihishwe nilipokosea.
 
Madhehebu mengi, ya KIKRISTO ni matokeo ya kutimia kwa utabiri wa YESU KRISTO ( watakuja manabii na wakristo wa uongo na watatenda miujiza mingi hata kuwapotosha wateule wa MUNGU).
 
Kweli Wakristo ndio wametengana lakini ndio ambao watoto wao hawaendi na yeboyebo kanisani.
 
Waislamu wana madhehebu mengi pia.
(1) Sunni
(2) Shia
(3)Ahmadiyya
(4) Aswar Sunni
Na ndani ya madhehebu hayo Kuna mgawanyiko pia.
Mfano: Shia( Kuna wajafariya, waismalia, nk).
Sunni: waserafi, wasufii, nk.( Nisahihishwe nilipokosea.
kwa hapa kwetu tz dhehenu kuu ni sunni ambalo karibu waisla wote wapo huko
 
Waislamu wana madhehebu mengi pia.
(1) Sunni
(2) Shia
(3)Ahmadiyya
(4) Aswar Sunni
Na ndani ya madhehebu hayo Kuna mgawanyiko pia.
Mfano: Shia( Kuna wajafariya, waismalia, nk).
Sunni: waserafi, wasufii, nk.( Nisahihishwe nilipokosea.
Nimekuja kujua kumbe hata wao wanayo mengi na wanapingana sana. Nina rafiki toka Pakistan ni muislam sikumbuki dhehebu lake ila amekuwa mkimbizi sasa kwa imani yake hiyo, kule kwao wanauawa wakisema tu kuwa wao ni wa hilo dhehebu.
 
Ni kweli, wenzetu waislamu wengine hata hawajui wapo dhehebu lipi wao wanachojua ni waislamu.
nakumbuka nilipokuwa najiunga chuo x cha kati enzi hizo kulikuwa na fomu ya kujaza dini na dhehebu, jamaa yangu mmoja muislamu alipata shida sana kujaza kipengele cha dhehebu ikabidi akiache wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…