Hadi sasa waislamu ndio wanaoongoza kwa waumini wengi wenye imani moja Tanzania. Wakristo wamegawanyika madhehebu mengi yasiyo na ushirikiano

Hadi sasa waislamu ndio wanaoongoza kwa waumini wengi wenye imani moja Tanzania. Wakristo wamegawanyika madhehebu mengi yasiyo na ushirikiano

Wapo Wakristo ambao hata hawajui kama Mungu ana nafsi
Waislamu wanazingatia Mungu mmoja, Allah. Huenda ndio imani ya kweli. Wakristu ni Mungu mmoja katika nafsi tatu. Ni nani kamgawa Mungu sehemu tatu? Watu wamekubali na imeenea duniani, sijui ni kwa miugiza gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanisa ni moja tu aliloacha Kristu na ndio linaitwa Katoliki yaani la ulimwengu. Na sio Roma. Soma historia vizuri. Hao wengine wamejitoa kwa matakwa yao na ndio madhehebu.
Umeandika kishabiki na usichokijua na hii mnalishwa na kupotoshwa huko RC.
 
Kanisa ni Moja Takatifu Katoliki la Mitume.

Mengine ni madhehebu si Kanisa.Idadi ya wakatoliki pekee ni kubwa kuliko waislamu wote
 
Umeandika kishabiki na usichokijua na hii mnalishwa na kupotoshwa huko RC.
Wala hakuna padri anayehubiri hayo, facts ni facts. Hii ni baada ya research wewe. Hakuna cha kupotoshwa. Yesu hakuacha watu vibaya, aliacha kanisa na wakristo wa kwanza na wakatoliki ndio haohao, mpaka structure ya ibada.
 
Muhimu: Uzi huu umejikita kwa mazingira ya Tanzania na sio nchi za nyingine

Hii ni kwa sababu ya mpasuko mkubwa sana uliotokea katika ukristo, wapo ambao wanataka kwenda dhehebu lenye miujiza hawana mda na neno, wapo wanaotaka dhehebu wanaloweza kujichia wakate hata mauno wanavyocheza gospel ndani ya kanisa, wapo wanaotaka dhehebu liwe la jumamosi, wapo wanaotaka dhehebu linaruhusu kula nguruwe, wapo wanaotaka dhehebu linalohamasishwa kunywa pombe kwa kigezo cha mnywaji, wapo wanaotaka dhehebu la kuhuburi kwa nguvu na kukekemea utafkiri wanaemuomba ni kiziwi.

Wapo wanaotaka dhehebu linaloruhusu wanawake kuhubiri, wapo wanaotaka dhehebu linalombana padre asije kujamiana maisha yake yote ilhali ni mwanaume rijali mwenye matamanio , wapo wanaotaka kubatizwa kwa kutumia kikombe cha chai na si kuzamishwa, n.k

Mipasuko ya madhehebu inaendelea kila tofauti zinapotokea, mpaka hapa tulipo kuna madhehebu yapatayo zaidi ya mia ya kikristo nchini Na kila dhehebu linadai kuwa lipo sahihi kuliko lingine

Katika Watanzania 100 unaweza kukuta waislmu 35 (kati ya hawa utawakuta 33 dhehebu kuu napengine wawili madhehebu mengine), upande wa kikiritsto utawakuta waroma 25, waluteri 15, wasabato 10, na wengine waliobaki wakiwa wamegawanyika kwenye madhehebu kibao huko kwa Masanja mkandamizaji, Tag, Moravian, Mashaidi wa Yehova, efata, kwa kina Gwajima, Lusekelo, kwa Kakobe, mwamposa, mwakasege , kuhani Musa, jodevi, shila, n.k

Kwa hali hii ambayo wakristo wametenganika sana ni dhahiri kwa sasa waislamu ndio wanoongoza kwa kuwa wengi katika imani moja.
Ninavyoona mimi ni kuongeza idadi ya Wakristo, maana kila kipande kikipasuka kinajitahidi kuongeza idadi ya waumini lakini wote wanajiita Wakristo.
 
Muhimu: Uzi huu umejikita kwa mazingira ya Tanzania na sio nchi za nyingine

Hii ni kwa sababu ya mpasuko mkubwa sana uliotokea katika ukristo, wapo ambao wanataka kwenda dhehebu lenye miujiza hawana mda na neno, wapo wanaotaka dhehebu wanaloweza kujichia wakate hata mauno wanavyocheza gospel ndani ya kanisa, wapo wanaotaka dhehebu liwe la jumamosi, wapo wanaotaka dhehebu linaruhusu kula nguruwe, wapo wanaotaka dhehebu linalohamasishwa kunywa pombe kwa kigezo cha mnywaji, wapo wanaotaka dhehebu la kuhuburi kwa nguvu na kukekemea utafkiri wanaemuomba ni kiziwi.

Wapo wanaotaka dhehebu linaloruhusu wanawake kuhubiri, wapo wanaotaka dhehebu linalombana padre asije kujamiana maisha yake yote ilhali ni mwanaume rijali mwenye matamanio , wapo wanaotaka kubatizwa kwa kutumia kikombe cha chai na si kuzamishwa, n.k

Mipasuko ya madhehebu inaendelea kila tofauti zinapotokea, mpaka hapa tulipo kuna madhehebu yapatayo zaidi ya mia ya kikristo nchini Na kila dhehebu linadai kuwa lipo sahihi kuliko lingine

Katika Watanzania 100 unaweza kukuta waislmu 35 (kati ya hawa utawakuta 33 dhehebu kuu napengine wawili madhehebu mengine), upande wa kikiritsto utawakuta waroma 25, waluteri 15, wasabato 10, na wengine waliobaki wakiwa wamegawanyika kwenye madhehebu kibao huko kwa Masanja mkandamizaji, Tag, Moravian, Mashaidi wa Yehova, efata, kwa kina Gwajima, Lusekelo, kwa Kakobe, mwamposa, mwakasege , kuhani Musa, jodevi, shila, n.k

Kwa hali hii ambayo wakristo wametenganika sana ni dhahiri kwa sasa waislamu ndio wanoongoza kwa kuwa wengi katika imani moja.
Imani ya hao waliogawanyika inahusu upagani au ukristo???
 
Wakriso wametengana sana aisee, majuzi hapo kanisa la kkkt la walutheran kulikuwa na vurugu nyingi sana mpaka kupelekea kupelekana maakamani na kanisa kufungwa kwa muda,,,,, huu mpasko sio ajabu ukazaa walutheran part 2
Vyovyote vile haijalishi Lakini anayeabudiwa ni Yesu baas siyo allah.

Yesu ni Mungu

Katika Yesu lazima tuamini na kuabudu

Jesus first Jesus Forever
 
Vyovyote vile haijalishi Lakini anayeabudiwa ni Yesu baas siyo allah.

Yesu ni Mungu

Katika Yesu lazima tuamini na kuabudu

Jesus first Jesus Forever
Pia usisahau ni hapahapa Tanzania ikifika ramadhani huwezo kula hadharani Zanzibar, unachapwa viboko kama mtoto mdogo 🙂 🙂
 
Vyovyote vile haijalishi Lakini anayeabudiwa ni Yesu baas siyo allah.

Yesu ni Mungu

Katika Yesu lazima tuamini na kuabudu

Jesus first Jesus Forever
😂😂😆😆😆😆😂😂😂😂😆
 
Muhimu: Uzi huu umejikita kwa mazingira ya Tanzania na sio nchi za nyingine

Hii ni kwa sababu ya mpasuko mkubwa sana uliotokea katika ukristo, wapo ambao wanataka kwenda dhehebu lenye miujiza hawana mda na neno, wapo wanaotaka dhehebu wanaloweza kujichia wakate hata mauno wanavyocheza gospel ndani ya kanisa, wapo wanaotaka dhehebu liwe la jumamosi, wapo wanaotaka dhehebu linaruhusu kula nguruwe, wapo wanaotaka dhehebu linalohamasishwa kunywa pombe kwa kigezo cha mnywaji, wapo wanaotaka dhehebu la kuhuburi kwa nguvu na kukekemea utafkiri wanaemuomba ni kiziwi.

Wapo wanaotaka dhehebu linaloruhusu wanawake kuhubiri, wapo wanaotaka dhehebu linalombana padre asije kujamiana maisha yake yote ilhali ni mwanaume rijali mwenye matamanio , wapo wanaotaka kubatizwa kwa kutumia kikombe cha chai na si kuzamishwa, n.k

Mipasuko ya madhehebu inaendelea kila tofauti zinapotokea, mpaka hapa tulipo kuna madhehebu yapatayo zaidi ya mia ya kikristo nchini Na kila dhehebu linadai kuwa lipo sahihi kuliko lingine

Katika Watanzania 100 unaweza kukuta waislmu 35 (kati ya hawa utawakuta 33 dhehebu kuu napengine wawili madhehebu mengine), upande wa kikiritsto utawakuta waroma 25, waluteri 15, wasabato 10, na wengine waliobaki wakiwa wamegawanyika kwenye madhehebu kibao huko kwa Masanja mkandamizaji, Tag, Moravian, Mashaidi wa Yehova, efata, kwa kina Gwajima, Lusekelo, kwa Kakobe, mwamposa, mwakasege , kuhani Musa, jodevi, shila, n.k

Kwa hali hii ambayo wakristo wametenganika sana ni dhahiri kwa sasa waislamu ndio wanoongoza kwa kuwa wengi katika imani moja.
YESU NI YULEYULE

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Muhimu: Uzi huu umejikita kwa mazingira ya Tanzania na sio nchi za nyingine

Hii ni kwa sababu ya mpasuko mkubwa sana uliotokea katika ukristo, wapo ambao wanataka kwenda dhehebu lenye miujiza hawana mda na neno, wapo wanaotaka dhehebu wanaloweza kujichia wakate hata mauno wanavyocheza gospel ndani ya kanisa, wapo wanaotaka dhehebu liwe la jumamosi, wapo wanaotaka dhehebu linaruhusu kula nguruwe, wapo wanaotaka dhehebu linalohamasishwa kunywa pombe kwa kigezo cha mnywaji, wapo wanaotaka dhehebu la kuhuburi kwa nguvu na kukekemea utafkiri wanaemuomba ni kiziwi.

Wapo wanaotaka dhehebu linaloruhusu wanawake kuhubiri, wapo wanaotaka dhehebu linalombana padre asije kujamiana maisha yake yote ilhali ni mwanaume rijali mwenye matamanio , wapo wanaotaka kubatizwa kwa kutumia kikombe cha chai na si kuzamishwa, n.k

Mipasuko ya madhehebu inaendelea kila tofauti zinapotokea, mpaka hapa tulipo kuna madhehebu yapatayo zaidi ya mia ya kikristo nchini Na kila dhehebu linadai kuwa lipo sahihi kuliko lingine

Katika Watanzania 100 unaweza kukuta waislmu 35 (kati ya hawa utawakuta 33 dhehebu kuu napengine wawili madhehebu mengine), upande wa kikiritsto utawakuta waroma 25, waluteri 15, wasabato 10, na wengine waliobaki wakiwa wamegawanyika kwenye madhehebu kibao huko kwa Masanja mkandamizaji, Tag, Moravian, Mashaidi wa Yehova, efata, kwa kina Gwajima, Lusekelo, kwa Kakobe, mwamposa, mwakasege , kuhani Musa, jodevi, shila, n.k

Kwa hali hii ambayo wakristo wametenganika sana ni dhahiri kwa sasa waislamu ndio wanoongoza kwa kuwa wengi katika imani moja.
Kama unajuwa maana ya dhehebu, basi utakubaliana nami kuwa dini ya Kiislamu pia ina madhehebu kama ilivyo dini ya Kikristu.
 
Kama unajuwa maana ya dhehebu, basi utakubaliana nami kuwa dini ya Kiislamu pia ina madhehebu kama ilivyo dini ya Kikristu.
Naam...wana madhehebu pia ambapo wanatofuatiana some beliefs.
 
Kanisa ni moja tu aliloacha Kristu na ndio linaitwa Katoliki yaani la ulimwengu. Na sio Roma. Soma historia vizuri. Hao wengine wamejitoa kwa matakwa yao na ndio madhehebu.
Hebu ficha ujinga wako wewe muabudu sanamu na maria eti mnamuita bikira wakati alizaa watoto wengi tu
 
Back
Top Bottom