Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata MTU akipanga njama za kumuondoa sio kosa LA uhaini maana sio Rais kwa mujibu wa Katiba!Kama hajatumia kiapo cha Rais kinachotambulika kisheria, huyo si Rais.
umesikiliza au unacommet bila kusikiliza au huna bando ya kufungua hiyo kiapo?
Kama hajaapa kiapo kinachotambulika kisheria, kimsingi Tanzania inakuwa haina rais.Hata MTU akipanga njama za kumuondoa sio kosa LA uhaini maana sio Rais kwa mujibu wa Katiba!
Plus unlimited data [personal] hotspot...I’m wired everywhere I go.Unajua Kiswahili? Unajua kusoma kwa ufahamu?
Unaelewa maana ya neno "kama"?
Sijawahi kutumia bando maisha yangu yote, nina unlimited internet ya 4G, halafu nina broadband internet yenye WiFi.
Bando haihusiki hapo.
Usinichukulie poa tu.
Mkuu hivi kwenye kiapo chake alitaja neno Mungu.Kama hajatumia kiapo cha Rais kinachotambulika kisheria, huyo si Rais.
It may come across as flossing, but he asked for it.Plus unlimited data [personal] hotspot...I’m wired everywhere I go.
Hahahaa ila mambo ya bando yanachosha!
Bando linaweza likakuishia usiku. Vibanda vya kununulia bando vimefungwa. Inabidi usubiri hadi asubuhi.
Sasa ukiwaambia baadhi ya hawa ndugu zetu hayo mambo ya unlimited data, wanaoweza kukuelewa ni wachache sana.
I have better things to do with my time than watching Magufuli.Mkuu hv kwenye kiapo chake alitaja neno Mungu
Weka ushahidi wako kwamba.Jamani kwa uelewa wangu wa mambo kidogo tu ninaona moderator wa humu jf wengi ni wana CHADEMA yaani ukiisema vibaya chadema uzi unazimwa kiaina hautoki ANGALIA UJINGA HUU ambao mtu katoka usingizini kaandika kuna maneno yamepungua kwenye kiapo nao bila ya kusikiliza wameupitisha watu wauchangie mnajiweka kwenye kundi la wapumbavu sana jiangalieni mnapoteza hadhi yenu moderators
Weka ushahidi wako kwamba.
1. Hii hapa video Magufuli anaapa.
2. Hiki hapa kiapo cha urais kinachotambulika kisheria.
3. Magufuli ameapa kwa kutumia kiapo kinachotambulika kisheria.
Tusijibizane kuhusu facts bila evidence.
What do you mean by "responsible for" ?
But that still does not make an invalid oath valid.The more traditional oath ritual involves an oath taker repeating verbatim after an oath administrator. In other words, the oath administrator dictates and the oath taker takes the oath, without omitting or adding anything.
Now, whether the oath specification is proper or not, complete or not, isn’t a matter for the oath taker to determine!
Maneno yaliyopoKwa mara ya kwanza Rais ameapa kwa maneno tofauti na kuacha maneno muhimu kabisa ambayo ni
"Naapa kwamba nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri na nitailinda, kuhifadhi Katiba ya JMT.
Lakini maneno hayo yameondolewa.
Nini tafsiri yake?
Kuna mabadiliko ya Katiba?
Wajuzi tupeni ufafanuzi.
View attachment 1620491
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 noma sana my dear. Hata mie siwezi kuwa sehemu ya uchafuzi huoSichukii kuzaliwa Tanzania ila ninachukia kuwa sehemu ya huu ujinga.
But that still does not make an invalid oath valid.
Someone who is an incumbent president - or anybody in natiinal politics for that matter- ought to know the oath.
Ignorance is not a defence.
Plus, how do we kniw if there is a deliberate conspiracy to not take the oath as originally designed?
Moreover, the governmental machinery, for example the Attorney General and his team, government lawyers, ought to advise accordingly to rectify this deficit, if at all it us factual.
Failure to do so would signify that we do nit resoect the rule of law, we are merely going with the motions.
Nani atahangaika na wewe wewe ukijiangalia unastahili kupewa hayo majibu kweli?Nimeomba ushahidi wa kuorodhesha vitu vitatu.
Hujaweka hata kimoja.
Wewe ni mjinga hujaelewa nilichoandika?
Au umeelewa una dharau tu?
Ni wazi kwamba wewe unahangaika na mimi kiasi cha kunijibu hapa JF.Nani atahangaika na wewe wewe ukijiangalia unastahili kupewa hayo majibu kweli??