Uchaguzi 2020 Hafla ya kuapishwa Dkt. John Magufuli kuendelea na Awamu ya Pili ya Urais wa JMT uwanja wa Jamhuri, Dodoma 05 Oct 2020

Uchaguzi 2020 Hafla ya kuapishwa Dkt. John Magufuli kuendelea na Awamu ya Pili ya Urais wa JMT uwanja wa Jamhuri, Dodoma 05 Oct 2020

Wekeni audio tusikie ndiyo tuseme? Nanusa Lifetime!!!!!
 
Nini?
Life time ban?
Hapana. Ni uelewa wangu. Narudia nanusa "Lifetime". Ukisoma katiba vizuri kuna kipengele kitakusaidia kuelewa ni kwa nini nimeandika hivyo. Ngoja tuone.
 
Kiapo chake kinaashiria kukua kwa uchumi kutoka uchumi wa kipato cha kati ngazi ya chini, kuelekea kipato cha kati ngazi ya juu, au hata kupita ngazi hiyo, ndani ya muda wa miaka mitano ijayo. Kumbuka kuwa safari hii kwenye timu wameongezeka pia wachezaji wengine wapya na ambao ni wazoefu sana kwenye mambo ya uchumi, mmoja wao akiwa ni Mh. Charles Kimei (MP)
 
Hapana. Ni uelewa wangu. Narudia nanusa "Lifetime". Ukisoma katiba vizuri kuna kipengele kitakusaidia kuelewa ni kwa nini nimeandika hivyo. Ngoja tuone.
Kasema hatazidisha hata siku mmoja mitano ikiisha ndiyo maana nimeshangaa wazo lako.
 
Kasema hatazidisha hata siku mmoja mitano ikiisha ndiyo maana nimeshangaa wazo lako.
Mimi sijawaza huko. Nimesema tu "Lifetime". Finally, I will never trust the tongue of any politician in the World.
 
Sichukii kuzaliwa Tanzania ila ninachukia kuwa sehemu ya huu ujinga.
Ujinga zaidi ni kujua upo katika ujinga halafu unabaki nao.

KWANI WALIOKUFA HAWANA ROHO HAO NDO HAWAPENDI UJINGA.

Unafiki ni ugonjwa m baya sana.
 
Aliyemuapisha ni Mwanasheria na Jaji Mkuu, sasa kama hakipo kisheria watatuambia.
Suala si aliyemuapisha, suala ni kiapo chenyewe.

Kaapa kwa kiapo kinachotambulika kisheria au katumia maneno yake tu?

Kiapo si freestyle ya Bongofleva useme rais anaweza ku ad lib.

Jaji Mkuu wa Marekani Roberts alikosea maneno ya kiapo, wakati anamuapisha Obama, ikabidi Jaji Mkuu Roberts amuapishe tena Obama.

Kwa watu wanaoelewa umuhimu wa kiapo cha rais, kama hujaapa inavyotakiwa hujawa rais bado.

 
Mkuu....
Ebu jiongeze..[emoji53]
JamiiForums2096555907.jpg
 
Kasema hatazidisha hata siku mmoja mitano ikiisha ndiyo maana nimeshangaa wazo lako.
Kauli yake ni tricky

Kama katiba ikibadirishwa na kuleta mpya yenye kuongeza muda wa utawala maana yake ni kwamba teknikali hafungwi na katiba ya zamani bali mpya inayomruhusu kuendelea na hiyo ndiyo atakayokuwa akiitii kwa wakati huo siyo ile ya zamani!
 
Kama hajatumia kiapo cha Rais kinachotambulika kisheria, huyo si Rais.
Nakumbuka Barrack Obama alipoapishwa kwa awamu yake ya pili ya Urais kiapo chako kilikosewa wakati akiapa. Hivyo ilimbidi akirudie tena alipokuwa White House. Sasa kama hiki alichokiapa hakijakidhi itabidi kirudiwe tena.
 
Back
Top Bottom