Hafla ya Tuzo za Ballon d'Or 2022 (Oktoba 17, 2022), Benzema ashinda Tuzo ya Ballon d’Or 2022

Hafla ya Tuzo za Ballon d'Or 2022 (Oktoba 17, 2022), Benzema ashinda Tuzo ya Ballon d’Or 2022

Messi angesalia barcelona hakika leo tungemshuhudia akipokea kiatu kwa x8....lkn vikwazo na chuki za watawala wa uhispania La liga walimwangusha kwa zuio lile

Hadi benzema anatajwa kuchukua mara hii lakini ni kama hakuna tenawatu wa level za messi vibe la messi huyu benzema anayetajwa hafiki hata nusu
Kweli mpira wa ulaya umetibuka na kuporomoka kwa kitendo tu cha kumwekea zuio messi



Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
91021959-FD48-4C62-871E-5DC5AA57A62A.jpeg
 
Back
Top Bottom