Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,442
- 1,140
Jinyonge tu Mkuuyani waislam bana ooh ustadh sijui sheikh mara alhaji, sijui lengo ni nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinyonge tu Mkuuyani waislam bana ooh ustadh sijui sheikh mara alhaji, sijui lengo ni nini
we mkuu unataka lengo liwe nn huyo ostadh kwa maana mtu mwny elimu ya dini pia anawez kusomesha huyo n alhaj kwa vile kaend kuhij macca ss ww unatak nn mkuuyani waislam bana ooh ustadh sijui sheikh mara alhaji, sijui lengo ni nini
Maneno yote we umeona hayo tu!!yani waislam bana ooh ustadh sijui sheikh mara alhaji, sijui lengo ni nini
Mbappe neymar wakiitaka hii tuzo waende madrid hawachukui misimu miwiliMadrid Wana upepo Nayo Sana,
Nadhan pia Ni kwasababu Madrid wako focused na kubeba UEFA
Ushamba tu na kushabikia hizi dini tulizoletewa na wageni.yani waislam bana ooh ustadh sijui sheikh mara alhaji, sijui lengo ni nini
Kwani akienda yeye kuhiji, sisi mashabiki wa madrid inatusaidia nini?we mkuu unataka lengo liwe nn huyo ostadh kwa maana mtu mwny elimu ya dini pia anawez kusomesha huyo n alhaj kwa vile kaend kuhij macca ss ww unatak nn mkuu
Hawa waislam ndio jamii inayo fanya watu weusi tuonekane watu wajinga wajinga kuliko jamii nyingine za dunia hii.Ushamba tu na kushabikia hizi dini tulizoletewa na wageni.
Nijinyonge wapi mkuu, nakushangaa kuwa ndani ya jamii dhaifuJinyonge tu Mkuu
Kama inakuuma hii. Kunywa mkojo wako utulieyani waislam bana ooh ustadh sijui sheikh mara alhaji, sijui lengo ni nini
Kwan amevyochukua huo uchezaji bora wewe umefaidika nini ,Kwani akienda yeye kuhiji, sisi mashabiki wa madrid inatusaidia nini?
Inamtia hamasa ya kuendelea kupambana ili apate tena mwakaniKwan amevyochukua huo uchezaji bora wewe umefaidika nini ,
Mashabiki maandazi utawajua tuu
Mpaka sasa sijaona haya majina kwenye hiyo list:
Manula
Mayele
George Mpole
Phiri
Aziz Ki
Chama
Sijui hao watoa tuzo wanakwama wapi?
George Weah hakucheza Barca wala Madrid. Ronaldo akiwa Manchester United alipewa.Nimekuja kugundua hii tuzo bila kucheza Barcelona au real Madrid hupewi hii tuzo utaisikia au wataanzisha zengwe kama walilomfanyia Lewandowski kipindi kile
Hujajibu swali wewe kama wewe , shabiki maandazi umefaidikaje na uchezaji bora wa BenzemaInamtia hamasa ya kuendelea kupambana ili apate tena mwakani
Messi angesalia barcelona hakika leo tungemshuhudia akipokea kiatu kwa x8....lkn vikwazo na chuki za watawala wa uhispania La liga walimwangusha kwa zuio lile
Hadi benzema anatajwa kuchukua mara hii lakini ni kama hakuna tenawatu wa level za messi vibe la messi huyu benzema anayetajwa hafiki hata nusu
Kweli mpira wa ulaya umetibuka na kuporomoka kwa kitendo tu cha kumwekea zuio messi
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
list ingeandaliwa after world cup.yashapita tyarWanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia ( Ballon d'Or )
- Trent Alexander Anold
- Joao Cancelo
- Karim Benzema
- Casemiro
- Luis Diaz
- Fabinho
- Foden
- Erling Haaland
- Sebastian Heller
- Joshua Kimmich
- Robert Lewandowski
- Riyad Mahrez
- Kylian Mbappe
- Luka Modric
- Christopher Nkunku
- Sadio Mane
- Darwin Nunez
- Cristiano Ronaldo
- Benardo Silva
- Son Heung Min
- Van Dijk
- Vlahovic