Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 858
- 2,497
Individual performance inatokana na ubora wa timu na wachezaji unaocheza nao, Ronaldo alienda man U kwa mara ya pili akiwa bora sana lakini aliangushwa na akina magwaya
Sina uhakika na ukisemacho ila kwa mtazamo wangu man of the match wa ile final alitakiwa kuwa mbappe kama kigezo ni kwamba anatakiwa kutoka timu iliyoshinda basi alitakiwa kuwa martinez yule kipa wa argentina na aston villa.Man of the match anachaguliwa ndani ya dk 90 za kwanza. Kuanzia 60 min to 90 … Kuanzia hapo hata ufunge magoli kumi hupewi man of the match.
Kwa umri wa mbappe kusema kweli messi alikua wa moto sana ila sio tuzo zote izo alistahili baadhi ya izo zilikua za kisiasa.Messi alipokuwa umri wa mbappe alikua tayari ana ballon d'or nne alizokuwa ameshinda back to back
So far kombe la world cup hajachukua, ni heshima kubwa sana iyo bila kuchukua ilo kombe kuna kitu unapungukiwa kwenye CVKipi kinakufanywa useme Ronaldo ana mwisho mbaya ...Mtu ambae kawaachia kazi kubwa sana vijana wanaocheza mpira yan kawaachia record nying ambazo inabid wavunje ili kuingia kwenye historia
NOTE
ukiwa shabiki wa mpira hauwez kuongea upuuzi kuhusu awa watu wawili sababu wamewaachia vijana kazi kubwa ya kuvunja record zao
Kepteni wa ureno ni yeye mwenyewe kwa mujibu wa utaratibu hawezi kujipigia kura labda kocha wa ureno ampie kura ila inawezekana nae pia aliamua kumtosa, uzuri wa hizi tuzo kura zipo open unaweza kuangalia nani alimpigia kura naniHio ni edit tu ilipostiwa tweeter, sio kweli,
Hiv unadhani ni kweli CR7 akose hata kura za kocha wa Ureno na Captain wa Ureno ?
Dah.! Kolo muani huyu
Sio kweli mkuuSaudia wametoa wawakilishi ndo hao wamemkataa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Akalale sasa muda wa watoto umekwisha
Naona umekariri kitu.Mpira ulikua unaangalia ukiwa umegeuka nyuma ama?
2010 hio ulitaka apewe iniesta kisa tu kafunga goli la ushindi world cup ?. Sasa si tutawapa mpaka kina gotze ballon d or kama ndo ivyo.
2010 ni world cup year huyu iniesta kwenye hivi vipengele vyote hakuwepo then unataka kusema alidhulumiwa
1: Golden ball ( Diego forlan , Wesley sneijdner,David Villa) . Kwenye golden ball ambayo ndio award anayopewa best player of world cup tournament huyo iniesta hakuwepo hata 3 bora .
2: Golden boot ( thomas muller, David villa, wesley sneijdner ) . Hio ni top scorer wa world cup 2010
3: Most assist 2010 world cup( Kaka , thomas muller, Mesut ozil)
Nembu tuonyeshe kipi hasa alifanya iniesta 2010 mpaka useme alistahili kupewa tuzo mwaka huo zaidi ya winning goal.
2010 mchezaji ambaye alikuwa na msimu bora zaidi ya wachezaji wengine alikua ni wesley sneijdner .
Unaweza ukawa una msimu bora as individual lakini msimu wako bora usiwe sawa na msimu wa kawaida wa messi .
Kwa mbali sana labda useme ni sneijdner tunaweza kukufikiria na si kutuambia iniesta acha kuhadithiwa mpira.
CR7 fans mara ya mwisho walishangilia lini?Haya Messi Fan's shangilieni, maana hatashangilia Tena baada ya tukio hili la Leo la hovyo 😂
Sina uhakika na ukisemacho ila kwa mtazamo wangu man of the match wa ile final alitakiwa kuwa mbappe kama kigezo ni kwamba anatakiwa kutoka timu iliyoshinda basi alitakiwa kuwa martinez yule kipa wa argentina na aston villa.
Ni mtazamo wako mkuu siwezi kukupingaKwa umri wa mbappe kusema kweli messi alikua wa moto sana ila sio tuzo zote izo alistahili baadhi ya izo zilikua za kisiasa.
Kolo muaniSikumbuki vzr nani alikosa alipiga kwa papala sana ile save ndio iliwapa ubinhwa argentina nilishangaa sana kuona man of the match alichukua messi, yaani ile chanve ingemkuta cleanical finisher kama lewandowski au cristiano pale ufaransa alikua anabeba ndoo
Hawa jamaa ni kama walisoma post yanguAnyway ashukuriwe Ronaldo, asingekuwepo yule mwamba kumchallenge messi kwa miaka yote hiyo, huyu jamaa hizo ballon d'or angekua nazo hata 15