Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo kandarasi kapewa nani maana mombasa wamekua wanatumika na vigogo kupiga sana hela ya umma. Kila kazi ya vyombo vya majini utasikia mombasa wakati bandari na mafundi hadi wajenzi wa meli mpya tunayo tz.Inasikitisha sana kuona jambo dogo la utiaji saini kwa ajili ya kwenda kwenye matengenezo ya Mv Magogoni ukifanyiwa sherehe kitu ambacho hakikufanyika kwa Mv kazi japokuwa ilitengeneza hapa hapa na mzawa Songoro marine.
Leo pale kivukoni wamezuia magari na kuleta usumbufu mkubwa kwa wananchi ili uweza kufanya hiyo hafla ya utiaji saini,ukiliangalia hili jambo kiundani utakuja kugundua inaonyesha wazi wazi jinsi viongozi wetu wa zama hizi wasivyokuwa serious na kazi, kivuko cha Mv Magogoni ni cha muda mrefu kidogo na kilipaswa kupelekwa mapema sana kwenye matengenezo bila kuchelewa kwa sababu ni kikubwa na ni msaada mkubwa kwa wananchi wa Kigamboni sasa kimeegeshwa ni wiki ya 3 sasa na leo ndio inafanyika hiyo hafla kwanza kabla ya kupelekwa Mombasa kwa matengenezo.
Kilichonisukuma kuandika uzi huu ni malalamiko na minongono mingi ya wananchi mbalimbali waliokuwa wanavuka hakika wameshangazwa sana na hilo jambo wamebaki wakijiuliza maswali mengi yasiyokuwa na majibu.
Tunaomba serikali ijaribu kuwa inaangalia umuhimu wa jambo kabla halijafanyika kwa maslahi mapana ya Taifa.
Mungu ibariki Tanzania.
Lisu na mbowe akiwamo zito wanasemaje ?Nakumbuka Kivuko hiki kilikuwa tia Maji tia Maji tangu enzi za Nyerere
Tupo hapa na mzee Mgaya tunajiuliza hiki Kivuko bado kipo hadi leo?
Hatari sana!
Nyie Sukuma Gang ni wapumbavu sanaLisu na mbowe akiwamo zito wanasemaje ?
USSR
Tangu Mbowe akiwa pale Benki Kuu enzi za Vita ya Kagera nakumbuka hiki Kivuko kilikuwa tia Maji tia Maji kama Daraja la Jangwani la Mecco!Yule mwovu si alishawaambia watu wapige mbizi tu?
Unaijua Gongo ya asali Wewe?Lisu na mbowe akiwamo zito wanasemaje ?
USSR
sio kweliHuo ujinga kwa jpm haukuwepo, kama taifa,tunayo safari ndefu,na tatizo kubwa wapiga firimbi wameungana na wezi,sijui nani atapaaza sauti kulisemea taifa,
Vyama vya upinzani ni zaidi ya bunge,ndio wanatakiwa kuiamsha serikali na kuwapigia kelele watawala,cha ajabu paka na panya wameweka makubaliano,
Twaaaafaaaaaa,
ati "...Tunaiomba serikali kuwa ijaribu ..."!! ni wajibu au fadhila? WaTz tumefikishwa mbali... dah!Inasikitisha sana kuona jambo dogo la utiaji saini kwa ajili ya kwenda kwenye matengenezo ya Mv Magogoni ukifanyiwa sherehe kitu ambacho hakikufanyika kwa Mv Kazi japokuwa ilitengeneza hapa hapa na mzawa Songoro marine.
Leo pale kivukoni wamezuia magari na kuleta usumbufu mkubwa kwa wananchi ili uweza kufanya hiyo hafla ya utiaji saini,ukiliangalia hili jambo kiundani utakuja kugundua inaonyesha wazi wazi jinsi viongozi wetu wa zama hizi wasivyokuwa serious na kazi, kivuko cha Mv Magogoni ni cha muda mrefu kidogo na kilipaswa kupelekwa mapema sana kwenye matengenezo bila kuchelewa kwa sababu ni kikubwa na ni msaada mkubwa kwa wananchi wa Kigamboni sasa kimeegeshwa ni wiki ya 3 sasa na leo ndio inafanyika hiyo hafla kwanza kabla ya kupelekwa Mombasa kwa matengenezo.
Kilichonisukuma kuandika uzi huu ni malalamiko na minongono mingi ya wananchi mbalimbali waliokuwa wanavuka hakika wameshangazwa sana na hilo jambo wamebaki wakijiuliza maswali mengi yasiyokuwa na majibu.
Tunaomba serikali ijaribu kuwa inaangalia umuhimu wa jambo kabla halijafanyika kwa maslahi mapana ya Taifa.
Mungu ibariki Tanzania.