Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka Kivuko hiki kilikuwa tia Maji tia Maji tangu enzi za Nyerere
Tupo hapa na mzee Mgaya tunajiuliza hiki Kivuko bado kipo hadi leo?
Hatari sana!
Ishu sio lini bali zoezi lenyewe, na salamu za m/kiti wa CCM mkoa za nini kwenye utiaji saini mkataba .Mpotoshaji
Hilo zoezi lishafanyika jana na ilikuwa kuweka saini mkataba
Walipovunja watu miguu ili wahakikishe CCM inashinda peke yake hichi ndicho walichomanisha kama hamkuelewa.
Huu ni wizi mwingine chini ya serikali ya samia!
Yaani Waziri mwenye Elimu mpaka level ya Uprofesa anakubaliana na huu upuuzi!