Hii serikali ina watu wapumbavu sana wamepewa nyadhifa humo serikalini. Wao kila kitu wanataka show offs za kipumbavu.
 
Na hiyo kandarasi kapewa nani maana mombasa wamekua wanatumika na vigogo kupiga sana hela ya umma. Kila kazi ya vyombo vya majini utasikia mombasa wakati bandari na mafundi hadi wajenzi wa meli mpya tunayo tz.
 
Million 7 au Billion 7 macho yangu yana ukungu
 
Duh.. Bilioni 7? na hapo ni mkataba wa awali wakianza kazi na sababu zao mara mvua zilikuwa nyingi mara vifaa vilipanda bei....sijui iutafika ngapi... lakini kwani kivuko kipya ni shilingi ngapi kama sikumbuki vizuri JK wakati anakizindua 2009 au 2010 hivi kilikuwa Bilioni 8 kama sikosei... mtaniongezea maarifa wajuzi
 
Bilioni 7 ?
Wanatengeneza nini ?
Vyuma shingapi?
Injini mpya tuseme tumebadilisha hata milioni 100 labda?
Mafundi na vitu vingine tuseme milioni 70.

Bilioni 7 ni pesa kuwezesha mashule huku watu bado wapo chini ya mawe
 
kuna Mpumbavu mwenzangu aliwahi kuniambia baadhi ya ofisi huko Serikalini hata ukiwaambia watumishi wasiwe wanalipwa mshahara ule wa TGS wapo tayari kuendelea kuhudumia watanzania wenzao hata kwa wao kuwa ndio wanalipa fee kama chuoni
 
Nakumbuka Kivuko hiki kilikuwa tia Maji tia Maji tangu enzi za Nyerere

Tupo hapa na mzee Mgaya tunajiuliza hiki Kivuko bado kipo hadi leo?

Hatari sana!
 
Mv magogoni ya Sasa sio Ile ya enzi zile
Hiki kinachotumika sasa Kilijengwa 2009,
Piga hesabu mpk sahv kina miaka mingapi
 
sio kweli
 
ati "...Tunaiomba serikali kuwa ijaribu ..."!! ni wajibu au fadhila? WaTz tumefikishwa mbali... dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…