Hahaha raha sana! Kwa jinsi walivyonitesa chuo sasa zamu yao

Hahaha raha sana! Kwa jinsi walivyonitesa chuo sasa zamu yao

Naogopa sana hyo dhambi mkuu...kila nikitaka weka huwa nasita..hapo muwekwaji anakua ameridhia hapo kumbuka
Ingia DM rusha contacts za kwa mwamampalange unazokimbia, ubaharia unapoteza cheo, ubatizo hatuchagui
 
Sasa ulitakiwa uwalipie.wale.wale waliokutesa...Hao wapya Wala Sio malipo hayo.
Walionitesa hata sjui wako dunia gan sasa hiv.wala stak kujua..ingawa huwa siach kusoma status zao whatsap.hahahha..mmoja huyo aliechukuliwaga na gar..baada ya miaka ka mi3..tulitaftana.inshort nilimtafta..nikampata..nikamla sanaaaa.halaf nikamwacha..yaan nilimfanya akaachana na bwana wake aliekua nae muda huo...yuko arusha huko Nmb naskia..hatak hata niskia
 
Mim kiukwel sjawai kuwa single...yan toka nmejielewa..infwact...mim nilichelewa kdogo kuanza mapenz/kugonga..mim nilianza hayo mambo likizo ya kumaliza six...

Enewei ni hiv.kipind nmeanza .sikuwai pata shida ya kupata demu..hata mara1..mim ilikua siwez tongoza so najenga ukarib tu .mwisho wa siku najikuta tumeshikana shikana then ndo inakua mapenz yameanza hapo..

ila sasa nilikua napenda mademu wazur.yaan wale madem wakali...nilikua napata baadhi baadh nachemka..

Ila sasa hayo mateso yake ..wakuu si mchezo..yaan kuwa na demu mkali chuo halaf hela unategemea boom...mateso utakayopata ni makubwa..

Nakumbuka kuna dem nilikua namfata udom..natoka ud..yaan boom linaishia kwenye useng..tu...mara namu import

Madem mapoz meng..anakukera lakin sabab mtoto mkal unakua mpole..kuna siku nakumbuka tuligombana na dem wangu m1 halaf ndo tulikua kwenye UE bas pepa ya mwisho..dem jion tumekubaliana tusuluhishane..hee..si nakuja ambiwa mida ya jion kaja chukuliwa na ndinga moja ya hatar hall 7 kule..

Yaan inshort matukio makubwa makubwa niliyapata meng...unakuta dem anakupenda..lakin sasa hela huna...bas nikawaga mim ni kuchapa yeyote alie mbele hangu.no strings hapo...

Matukio ni meng sana..siwez elezea ...

Sasa now the table is turned....yaan kwa jins navyowatesa hawa watu..acheni tuu..

Kuna m1 hapa analazimisha kuja kwangu weekend hii..nmemwambia hapana ..hapa tunalumbana...ni kwamba kuna mwenzie anakuja...

Uzi tayar .(usinijudge...wanasema malipo ni hapa hapa ..na haya ndo malipo sasa)
Ukitafakari zaidi hakuna malipizi maana waliokutesa wewe si ambao unadeal nao sasa ila Kama vipi test zari kwa kudeal na wale walokutesa enzi zile.
 
Huwezi kushindana papuchi, zaidi wao wanakufaidi na kikuachia magonjwa
Ni bingwa wa kutumia kinga dunian .najikubal kwenye sekta hyo..na hyo ndo siri ya watu design yangu..uoga
 
Walionitesa hata sjui wako dunia gan sasa hiv.wala stak kujua..ingawa huwa siach kusoma status zao whatsap.hahahha..mmoja huyo aliechukuliwaga na gar..baada ya miaka ka mi3..tulitaftana.inshort nilimtafta..nikampata..nikamla sanaaaa.halaf nikamwacha..yaan nilimfanya akaachana na bwana wake aliekua nae muda huo...yuko arusha huko Nmb naskia..hatak hata niskia
Mkuuu...utachakata papuchi ngapi?..Huwezi zimaliza... Muda wakujenga familia huu....papuchi Wala haziishi mkuu..
 
Unajisifia dhambi, halafu siku ya mwisho utashangaa unaanza kujikataa, haya bana maandishi yako haya yatakushuhudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uasherat sio dhamb mkuu..uzinzi ndo dhamb.according to king james bible..adultury ni kama mmoja wenu kat ya nyie wawili yuko kwenye ndoa halaf anafanya sex na mwngne tofaut..
 
Hawa wa sasa hiv..nao walimtesa mwamba flan katika maisha yao so nawalipizia kisasi wana
Hakikisha wanarudi home au maghetoni wanaikanda mbunye hakuna ujinga Kama kujisifia wakati shoo zote mademu hawatosheki kinyume chake kila demu anatangaza udhaifu wa shoo, pia baharia ukitupia demu kwa ndomu tuwe na kaba maana uhalisia ile huwe ni nyeto shirikishi
 
Back
Top Bottom