Hahaha raha sana! Kwa jinsi walivyonitesa chuo sasa zamu yao

Naogopa sana hyo dhambi mkuu...kila nikitaka weka huwa nasita..hapo muwekwaji anakua ameridhia hapo kumbuka
Ingia DM rusha contacts za kwa mwamampalange unazokimbia, ubaharia unapoteza cheo, ubatizo hatuchagui
 
Sasa ulitakiwa uwalipie.wale.wale waliokutesa...Hao wapya Wala Sio malipo hayo.
Walionitesa hata sjui wako dunia gan sasa hiv.wala stak kujua..ingawa huwa siach kusoma status zao whatsap.hahahha..mmoja huyo aliechukuliwaga na gar..baada ya miaka ka mi3..tulitaftana.inshort nilimtafta..nikampata..nikamla sanaaaa.halaf nikamwacha..yaan nilimfanya akaachana na bwana wake aliekua nae muda huo...yuko arusha huko Nmb naskia..hatak hata niskia
 
Ukitafakari zaidi hakuna malipizi maana waliokutesa wewe si ambao unadeal nao sasa ila Kama vipi test zari kwa kudeal na wale walokutesa enzi zile.
 
Huwezi kushindana papuchi, zaidi wao wanakufaidi na kikuachia magonjwa
Ni bingwa wa kutumia kinga dunian .najikubal kwenye sekta hyo..na hyo ndo siri ya watu design yangu..uoga
 
Mkuuu...utachakata papuchi ngapi?..Huwezi zimaliza... Muda wakujenga familia huu....papuchi Wala haziishi mkuu..
 
Unajisifia dhambi, halafu siku ya mwisho utashangaa unaanza kujikataa, haya bana maandishi yako haya yatakushuhudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uasherat sio dhamb mkuu..uzinzi ndo dhamb.according to king james bible..adultury ni kama mmoja wenu kat ya nyie wawili yuko kwenye ndoa halaf anafanya sex na mwngne tofaut..
 
Hawa wa sasa hiv..nao walimtesa mwamba flan katika maisha yao so nawalipizia kisasi wana
Hakikisha wanarudi home au maghetoni wanaikanda mbunye hakuna ujinga Kama kujisifia wakati shoo zote mademu hawatosheki kinyume chake kila demu anatangaza udhaifu wa shoo, pia baharia ukitupia demu kwa ndomu tuwe na kaba maana uhalisia ile huwe ni nyeto shirikishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…