Hahaha raha sana! Kwa jinsi walivyonitesa chuo sasa zamu yao

Ila nasikia wanasemaga kamekuwa kaugonjwa ka kawaida tu sasa yaani ukikapata tu unakimbilia dawa za kurefusha maisha hivyo hakatishi eti.

Wengine wanasema hata hakapo now days, acha mdogo wetu aenjoy mizigo.



Let's meet at the top, cheers 🍻
 

Umesupp mara ngapi we chizi?
 
Kibaya zaid ni kwamba unamlipizia mtu asiyejua kuwa analipiziwa.Yy anajua anaishi life lake tuu kumbe ww uko kwenye ligi na wasioshindana na ww
 
Umenikumbusha chuo tulikuwa tunashindana nani amelala na wanwake wengi kwa mwezi basi mwezi ujao anakula bure mwezi mzima...
Kulikuwa na mjumbe kabisa wa kufuatilia kama mwanamke kaingia kweli ghetto na lazima uache vithibitisho kabisa vya kumpa mjumbe ndo anaandika kwenye daftari

Kuna record zilikuwa zinavunjwa kikatili sana

Sasa kuna mjinga tulikuwa tuna mdoubt km kweli anawatafuna akaona kwake ilikuwa na km kashfa akamtafuna demu wa mshikaji wetu hlf akaomba awekwe kwenye record[emoji20][emoji20][emoji20]

All in all utoto raha sana
 
Mapenzi ni kama kupwa na kujaa kwa bahari usijidanganye umewakamata usikute ndio umekamatika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…