Hahaha what's comrade Ramaphosa says about Tanzania economy

Hahaha what's comrade Ramaphosa says about Tanzania economy

Huu ndio tunaita uzwazwa, yaani mlitumika kuwakomboa ili muishi kula misifa wakati hampo hata ndani ya kumi na tano bora kati ya mataifa yanayofaidi uhusiano wao na Afrika Kusini. Heehehe hadi aibu, kazi kukenua meno mkikunwa na misifa wakati wenzenu wanaifaidi hiyo Afrika Kusini kupita maelezo.

Kikubwa ni kwamba hao hao Wasouth ndio wanafaidi sana migodi yenu wakati nyie pamoja na hata kupewa visa free bado mivivu wa kutupwa hamfanyi chochote cha maana, na wakianza kucharanga wageni mapanga, wazamiaji wenu huwa hawasazwi, wanachezea humo humo.
Kenya hatupeleka kiherehere kwa kujifanya wakombozi wa hao Wasouth lakini kiaina tunafaidi hata bila visa.

Misifa yote hiyo ya kuwakomboa na kwenye list hii hapa hampo hamtajwi sehemu

  1. China: US$8.7 billion (9.2% of South Africa’s total exports)
  2. Germany: $7.1 billion (7.5%)
  3. United States: $6.4 billion (6.8%)
  4. United Kingdom: $4.8 billion (5.1%)
  5. Japan: $4.5 billion (4.7%)
  6. India: $4.5 billion (4.7%)
  7. Botswana: $4.1 billion (4.3%)
  8. Namibia: $3.6 billion (3.8%)
  9. Mozambique: $3.3 billion (3.4%)
  10. Netherlands: $3.1 billion (3.3%)
  11. Belgium: $2.4 billion (2.6%)
  12. Zambia: $2.4 billion (2.6%)
  13. Zimbabwe: $2.3 billion (2.5%)
  14. South Korea: $1.9 billion (2%)
  15. United Arab Emirates: $1.8 billion (1.9%)

 
Kwendraaaaaa baki na chuki zenu huko huko
Huu ndio tunaita uzwazwa, yaani mlitumika kuwakomboa ili muishi kula misifa wakati hampo hata ndani ya kumi na tano bora kati ya mataifa yanayofaidi uhusiano wao na Afrika Kusini. Heehehe hadi aibu, kazi kukenua meno mkikunwa na misifa wakati wenzenu wanaifaidi hiyo Afrika Kusini kupita maelezo.

Kikubwa ni kwamba hao hao Wasouth ndio wanafaidi sana migodi yenu wakati nyie pamoja na hata kupewa visa free bado mivivu wa kutupwa hamfanyi chochote cha maana, na wakianza kucharanga wageni mapanga, wazamiaji wenu huwa hawasazwi, wanachezea humo humo.
Kenya hatupeleka kiherehere kwa kujifanya wakombozi wa hao Wasouth lakini kiaina tunafaidi hata bila visa.

Misifa yote hiyo ya kuwakomboa na kwenye list hii hapa hampo hamtajwi sehemu

  1. China: US$8.7 billion (9.2% of South Africa’s total exports)
  2. Germany: $7.1 billion (7.5%)
  3. United States: $6.4 billion (6.8%)
  4. United Kingdom: $4.8 billion (5.1%)
  5. Japan: $4.5 billion (4.7%)
  6. India: $4.5 billion (4.7%)
  7. Botswana: $4.1 billion (4.3%)
  8. Namibia: $3.6 billion (3.8%)
  9. Mozambique: $3.3 billion (3.4%)
  10. Netherlands: $3.1 billion (3.3%)
  11. Belgium: $2.4 billion (2.6%)
  12. Zambia: $2.4 billion (2.6%)
  13. Zimbabwe: $2.3 billion (2.5%)
  14. South Korea: $1.9 billion (2%)
  15. United Arab Emirates: $1.8 billion (1.9%)

 
Huu ndio tunaita uzwazwa, yaani mlitumika kuwakomboa ili muishi kula misifa wakati hampo hata ndani ya kumi na tano bora kati ya mataifa yanayofaidi uhusiano wao na Afrika Kusini. Heehehe hadi aibu, kazi kukenua meno mkikunwa na misifa wakati wenzenu wanaifaidi hiyo Afrika Kusini kupita maelezo.

Kikubwa ni kwamba hao hao Wasouth ndio wanafaidi sana migodi yenu wakati nyie pamoja na hata kupewa visa free bado mivivu wa kutupwa hamfanyi chochote cha maana, na wakianza kucharanga wageni mapanga, wazamiaji wenu huwa hawasazwi, wanachezea humo humo.
Kenya hatupeleka kiherehere kwa kujifanya wakombozi wa hao Wasouth lakini kiaina tunafaidi hata bila visa.

Misifa yote hiyo ya kuwakomboa na kwenye list hii hapa hampo hamtajwi sehemu

  1. China: US$8.7 billion (9.2% of South Africa’s total exports)
  2. Germany: $7.1 billion (7.5%)
  3. United States: $6.4 billion (6.8%)
  4. United Kingdom: $4.8 billion (5.1%)
  5. Japan: $4.5 billion (4.7%)
  6. India: $4.5 billion (4.7%)
  7. Botswana: $4.1 billion (4.3%)
  8. Namibia: $3.6 billion (3.8%)
  9. Mozambique: $3.3 billion (3.4%)
  10. Netherlands: $3.1 billion (3.3%)
  11. Belgium: $2.4 billion (2.6%)
  12. Zambia: $2.4 billion (2.6%)
  13. Zimbabwe: $2.3 billion (2.5%)
  14. South Korea: $1.9 billion (2%)
  15. United Arab Emirates: $1.8 billion (1.9%)

Pwahahaha!!! Sasa hivi tupo na kwenye hatua ya pili. Kuikomboa Africa kiuchumi.
THIS IS TANZANIA
 
Punguza chuki bro utakufa mapema kwa depression. Kwan si uongee taratibu ru utaeleweka? Una chuki kubwa utadhani kuna kitu chochote unadaidi kuwepo apo ulipo. Au hujui kwenye nchi zinazoongoza kwa misifa ya kishenzi ni ipi EA. maisha ni yale yale hata kama wabongo hawafaidi bado maisha yanaendelea. Duniani huwezi kupata kila kitu na wanadamu lazima tukubali tunazidiana. Tuseme ninyi wakenya mmewazidi wabongo kila kitu..them what?? Ww mwenyewe maisha yako na familia yako mnafaida gani zaidi ya hawa unaowatolea maneno machafu zaidi utakuta unaowadharau wanaishi maisha bora mara 100 kukuzidi. Mind youe own bro
 
La kushangaza, Kenya ambayo haikuhangaika kupeleka kiherehere cha kukomboa Afrika Kusini, hii picha hapa inaonyesha inaizidi Tanzania kwa uhusiano wa kibiashara na hao Afrika Kusini, licha ya Tanzania kujifanya mkombozi wa Afrika


exports-aug2018_orig.png
 
La kushangaza, Kenya ambayo haikuhangaika kupeleka kiherehere cha kukomboa Afrika Kusini, hii picha hapa inaonyesha inaizidi Tanzania kwa uhusiano wa kibiashara na hao Afrika Kusini, licha ya Tanzania kujifanya mkombozi wa Afrika


View attachment 1182894
We jamaa utakufa kwa statistics.
 
Hahahaha, wasaliti wakubwa hao, wao wanadhani duniani kila kitu ni kuhusu materials, ndio sababu wanaoifaidi Kenya ni wachache sana.

Hawa jamaa wana laana kubwa kwa Mungu, wao hawana Utu wala ubinadamu, ndio sababu wanauana kama wadudu, sio kila ukitio msaada ulipwe, mbona wanaheshi 2900 wa Cuba walikufa na kuzikwa Angola, Cuba imefaidikaje?. Wakenya sio watu wala binadamu, sasa mnajikomba kwetu kwasababu gani?, watu ambao hamkuwajali katika matatizo yao, vipi mnafurahia kufanya nao biashara?. Wanyama wakubwa ninyi.
 
Punguza chuki bro utakufa mapema kwa depression. Kwan si uongee taratibu ru utaeleweka? Una chuki kubwa utadhani kuna kitu chochote unadaidi kuwepo apo ulipo. Au hujui kwenye nchi zinazoongoza kwa misifa ya kishenzi ni ipi EA. maisha ni yale yale hata kama wabongo hawafaidi bado maisha yanaendelea. Duniani huwezi kupata kila kitu na wanadamu lazima tukubali tunazidiana. Tuseme ninyi wakenya mmewazidi wabongo kila kitu..them what?? Ww mwenyewe maisha yako na familia yako mnafaida gani zaidi ya hawa unaowatolea maneno machafu zaidi utakuta unaowadharau wanaishi maisha bora mara 100 kukuzidi. Mind youe own bro

Huo ushauri mlifaa kuutumia kujishauri, kwamba mnapoteza muda kuja kututambia huku kwenye jukwaa la Wakenya misifa mnayopewa na hao akina Ramaphosa na kusahau hayo kwa leo hayana umuhimu mkubwa, kilicho cha maana ni ajira kwa vijana wa leo ambao hata hawamjui Mandela wala huyo Nyerere. Hawana muda na hiyo misifa, wanataka fursa, vyuma vimekaza kila kukicha.
Mlifaa kukaa muwaze jinsi gani ya kutumia fursa ya uhusiano mwema na hao Wasouth kupiga biashara ya nguvu na kujikomboa kutoka kwenye umaskini, bado mnajitetea eti mpo maskini kisa mliikomboa Afrika, miaka yote hii bado mnaikomboa Afrika?
Hebu ona hii picha hapa chini bado mnatajwa ndani ya mataifa maskini wa kutupwa....sio Afrika, yaani dunia yote mpo ndani ya mataifa kumi maskini wa kutolewa nje nje, mkihojwa mnajitetea eti mliikomboa Afrika

focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png
 
Hahahaha, wasaliti wakubwa hao, wao wanadhani duniani kila kitu ni kuhusu materials, ndio sababu wanaoifaidi Kenya ni wachache sana.

Hawa jamaa wana laana kubwa kwa Mungu, wao hawana Utu wala ubinadamu, ndio sababu wanauana kama wadudu, sio kila ukitio msaada ulipwe, mbona wanaheshi 2900 wa Cuba walikufa na kuzikwa Angola, Cuba imefaidikaje?. Wakenya sio watu wala binadamu, sasa mnajikomba kwetu kwasababu gani?, watu ambao hamkuwajali katika matatizo yao, vipi mnafurahia kufanya nao biashara?. Wanyama wakubwa ninyi.
Huyu jamaa MK254 ndiyo picha halisi ya wakenya. Wakenya siyo watu wa kuwaamini. Hata katika ushirika huu wa EAC ni kuwa nao makini. These guys have been brainwashed na wazungu. Wanatumiwa kuzihujumu nchi za kiafrica. Ni bora sisi SADC tukashikamana zaidi.

Burundi wameomba nadhani chini ya uongozi wa Magufuli watapata uanachama.
Let us work together as SADC tuachane na hawa wanafiki wasiopenda maendeleo ya wengine.
 
He he ati south africa will always remain greatfull to tanzania-that is just formality bullshit by ramaphosa,the situation on the ground is totally different,black south africans are very ignorant of the rest of africa and don't consider themselves as living in africa,xenophobia attacks are REAL in SA and they target all african immigrants icluding tanzanians-that liberation story is old tired bullshit.
 
Endelea na statistic uchwara [emoji23][emoji23][emoji23] huku hali halisi ya nduguzo unazifahamu zinavyosikitisha.
Huo ushauri mlifaa kuutumia kujishauri, kwamba mnapoteza muda kuja kututambia huku kwenye jukwaa la Wakenya misifa mnayopewa na hao akina Ramaphosa na kusahau hayo kwa leo hayana umuhimu mkubwa, kilicho cha maana ni ajira kwa vijana wa leo ambao hata hawamjui Mandela wala huyo Nyerere. Hawana muda na hiyo misifa, wanataka fursa, vyuma vimekaza kila kukicha.
Mlifaa kukaa muwaze jinsi gani ya kutumia fursa ya uhusiano mwema na hao Wasouth kupiga biashara ya nguvu na kujikomboa kutoka kwenye umaskini, bado mnajitetea eti mpo maskini kisa mliikomboa Afrika, miaka yote hii bado mnaikomboa Afrika?
Hebu ona hii picha hapa chini bado mnatajwa ndani ya mataifa maskini wa kutupwa....sio Afrika, yaani dunia yote mpo ndani ya mataifa kumi maskini wa kutolewa nje nje, mkihojwa mnajitetea eti mliikomboa Afrika

focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png
 
Huu ndio tunaita uzwazwa, yaani mlitumika kuwakomboa ili muishi kula misifa wakati hampo hata ndani ya kumi na tano bora kati ya mataifa yanayofaidi uhusiano wao na Afrika Kusini. Heehehe hadi aibu, kazi kukenua meno mkikunwa na misifa wakati wenzenu wanaifaidi hiyo Afrika Kusini kupita maelezo.

Kikubwa ni kwamba hao hao Wasouth ndio wanafaidi sana migodi yenu wakati nyie pamoja na hata kupewa visa free bado mivivu wa kutupwa hamfanyi chochote cha maana, na wakianza kucharanga wageni mapanga, wazamiaji wenu huwa hawasazwi, wanachezea humo humo.
Kenya hatupeleka kiherehere kwa kujifanya wakombozi wa hao Wasouth lakini kiaina tunafaidi hata bila visa.

Misifa yote hiyo ya kuwakomboa na kwenye list hii hapa hampo hamtajwi sehemu

  1. China: US$8.7 billion (9.2% of South Africa’s total exports)
  2. Germany: $7.1 billion (7.5%)
  3. United States: $6.4 billion (6.8%)
  4. United Kingdom: $4.8 billion (5.1%)
  5. Japan: $4.5 billion (4.7%)
  6. India: $4.5 billion (4.7%)
  7. Botswana: $4.1 billion (4.3%)
  8. Namibia: $3.6 billion (3.8%)
  9. Mozambique: $3.3 billion (3.4%)
  10. Netherlands: $3.1 billion (3.3%)
  11. Belgium: $2.4 billion (2.6%)
  12. Zambia: $2.4 billion (2.6%)
  13. Zimbabwe: $2.3 billion (2.5%)
  14. South Korea: $1.9 billion (2%)
  15. United Arab Emirates: $1.8 billion (1.9%)

Povu linakushuruzika sana mbaya zaidi halina uhusiano na mada mezani.

Ipo tofauti kubwa ya South Africa na Southern Africa, sisi tuli liberate the whole Southern Africa.
 
Tanzania tunasonga mbele huku wengine walichobakiwa nacho ni chuki na wivu [emoji23][emoji23][emoji23]
Povu linakushuruzika sana mbaya zaidi halina uhusiano na mada mezani.

Ipo tofauti kubwa ya South Africa na Southern Africa, sisi tuli liberate the whole Southern Africa.
 
Dont ignore us, up to know I'm in a great pain because my english is poor because of liberating you but now you are insulting us for our hospitality, shame on you
 
Huo ushauri mlifaa kuutumia kujishauri, kwamba mnapoteza muda kuja kututambia huku kwenye jukwaa la Wakenya misifa mnayopewa na hao akina Ramaphosa na kusahau hayo kwa leo hayana umuhimu mkubwa, kilicho cha maana ni ajira kwa vijana wa leo ambao hata hawamjui Mandela wala huyo Nyerere. Hawana muda na hiyo misifa, wanataka fursa, vyuma vimekaza kila kukicha.
Mlifaa kukaa muwaze jinsi gani ya kutumia fursa ya uhusiano mwema na hao Wasouth kupiga biashara ya nguvu na kujikomboa kutoka kwenye umaskini, bado mnajitetea eti mpo maskini kisa mliikomboa Afrika, miaka yote hii bado mnaikomboa Afrika?
Hebu ona hii picha hapa chini bado mnatajwa ndani ya mataifa maskini wa kutupwa....sio Afrika, yaani dunia yote mpo ndani ya mataifa kumi maskini wa kutolewa nje nje, mkihojwa mnajitetea eti mliikomboa Afrika

focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png
Wimbo huu unauimba kila siku. Nothing change. Tanzania tunasonga mbele.
We decided to work hard na ninakuhakikishia watanzania tunaishi maisha bora zaidi ya mkenya.

Tunajua nchi yetu GDP ni ndogo kutokana na kuhakikisha waafrica wenzetu wanakuwa huru.
Tumeikomboa Mozambique, Zimbabwe, Angola, Namibia, Comoros, Seychelles na SA.
Tulitegemea ninyi mgekuwa mko juu sana lakini cha ajabu PPP, Gdp and per capita almost the same with Tanzania.
 
Huo ushauri mlifaa kuutumia kujishauri, kwamba mnapoteza muda kuja kututambia huku kwenye jukwaa la Wakenya misifa mnayopewa na hao akina Ramaphosa na kusahau hayo kwa leo hayana umuhimu mkubwa, kilicho cha maana ni ajira kwa vijana wa leo ambao hata hawamjui Mandela wala huyo Nyerere. Hawana muda na hiyo misifa, wanataka fursa, vyuma vimekaza kila kukicha.
Mlifaa kukaa muwaze jinsi gani ya kutumia fursa ya uhusiano mwema na hao Wasouth kupiga biashara ya nguvu na kujikomboa kutoka kwenye umaskini, bado mnajitetea eti mpo maskini kisa mliikomboa Afrika, miaka yote hii bado mnaikomboa Afrika?
Hebu ona hii picha hapa chini bado mnatajwa ndani ya mataifa maskini wa kutupwa....sio Afrika, yaani dunia yote mpo ndani ya mataifa kumi maskini wa kutolewa nje nje, mkihojwa mnajitetea eti mliikomboa Afrika

focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png
Wabongo walikuibia mkeo aise lolss! Si kwa kulialia hivi, You are losing your plot for crying out loud about Tz. Just get on wit your slummy life folk!!
 
Huo ushauri mlifaa kuutumia kujishauri, kwamba mnapoteza muda kuja kututambia huku kwenye jukwaa la Wakenya misifa mnayopewa na hao akina Ramaphosa na kusahau hayo kwa leo hayana umuhimu mkubwa, kilicho cha maana ni ajira kwa vijana wa leo ambao hata hawamjui Mandela wala huyo Nyerere. Hawana muda na hiyo misifa, wanataka fursa, vyuma vimekaza kila kukicha.
Mlifaa kukaa muwaze jinsi gani ya kutumia fursa ya uhusiano mwema na hao Wasouth kupiga biashara ya nguvu na kujikomboa kutoka kwenye umaskini, bado mnajitetea eti mpo maskini kisa mliikomboa Afrika, miaka yote hii bado mnaikomboa Afrika?
Hebu ona hii picha hapa chini bado mnatajwa ndani ya mataifa maskini wa kutupwa....sio Afrika, yaani dunia yote mpo ndani ya mataifa kumi maskini wa kutolewa nje nje, mkihojwa mnajitetea eti mliikomboa Afrika

focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa MK254 ndiyo picha halisi ya wakenya. Wakenya siyo watu wa kuwaamini. Hata katika ushirika huu wa EAC ni kuwa nao makini. These guys have been brainwashed na wazungu. Wanatumiwa kuzihujumu nchi za kiafrica. Ni bora sisi SADC tukashikamana zaidi.

Burundi wameomba nadhani chini ya uongozi wa Magufuli watapata uanachama.
Let us work together as SADC tuachane na hawa wanafiki wasiopenda maendeleo ya wengine.
Na ndio maana Tanzania inafanya biashara mara 100 na SADC kuliko inavyofanya na EAC

 
Tulipambana na ndugu zetu wa southern Africa kupigania uhuru, lakini wao hawakuwa na majukumu yoyote lakini cha ajabu hakuna cha maana walichokifanya [emoji23][emoji23][emoji23]
Wimbo huu unauimba kila siku. Nothing change. Tanzania tunasonga mbele.
We decided to work hard na ninakuhakikishia watanzania tunaishi maisha bora zaidi ya mkenya.

Tunajua nchi yetu GDP ni ndogo kutokana na kuhakikisha waafrica wenzetu wanakuwa huru.
Tumeikomboa Mozambique, Zimbabwe, Angola, Namibia, Comoros, Seychelles na SA.
Tulitegemea ninyi mgekuwa mko juu sana lakini cha ajabu PPP, Gdp and per capita almost the same with Tanzania.
 
Back
Top Bottom