Hai, Kilimanjaro: Komandoo Adamoo na wenzake wazawadiwa ng’ombe dume kila mmoja

Jina la Kristo lihimidiwe
 
Sawa hata mamvii alisema kama wewe lkn baadae alirudi
Je na wewe huwez kurud huko ccm baadae??
Maana kilicho kuvutia ni hao komandoo
Sio sera za chadema
Kwani wewe upo CCM kwa kuvutiwa na Sera zake au kwavile kipo madarakani kinaweza kukuchotea hela ya serikali?
 
Itabidi ianzishwe campaign rasmi ya where is Lijenje tujue alipo na kama alikufa waliomuua wafikishwe mahakamani.
Bado kuna mengi sana ya kufuatiliwa watu wajue: kwa mfano, Ben Saanane. Nani aliyemteka MO na kwa sababu gani? Risasi 16 alizopokea Lissu...
 
1. Sirro hana amani
2. Kingai anahofu
3. Urio hajiwezi
4. Dada wa Rau ana mashaka na maisha yake
Sirro ana maswala mengi ya kujibu kufafanua
1.Polisi aiyetamka kuwa Mbowe hawezi kushinda


2. Yote waliyoropoka kuhusu Mbowe


3. Ypte waliyozusha kuhusu Lema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…