Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 May 9, 2024 #21 Smart911 said: Pole yao sana... Cc: Mahondaw Click to expand... Dah huzuni sana
A antimatter JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 47,274 Reaction score 126,778 May 9, 2024 #22 Cute Wife said: Eneo ni Sanya chini, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro baada ya serikali kuagiza nyumba hizo kubomolewa. View attachment 2984990 Malisa Click to expand... RRONDO said: Kwanini serikali imeagiza zibomolewe? Click to expand... Hapo sababu ni Kupisha uwanja wa ndege KiA ambao inasemekana unakabidhiwa kwa Waarabu wa OMAN.. Team chawa watakwambia mama anaupiga mwingi na amewafikia wanyonge. Mi5 tena kwa mama Cc: Lucas Mwashambwa njoo huku utie neno
Cute Wife said: Eneo ni Sanya chini, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro baada ya serikali kuagiza nyumba hizo kubomolewa. View attachment 2984990 Malisa Click to expand... RRONDO said: Kwanini serikali imeagiza zibomolewe? Click to expand... Hapo sababu ni Kupisha uwanja wa ndege KiA ambao inasemekana unakabidhiwa kwa Waarabu wa OMAN.. Team chawa watakwambia mama anaupiga mwingi na amewafikia wanyonge. Mi5 tena kwa mama Cc: Lucas Mwashambwa njoo huku utie neno
L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Joined Jul 28, 2022 Posts 28,722 Reaction score 20,610 May 9, 2024 #23 antimatter said: Hapo sababu ni Kupisha uwanja wa ndege KiA ambao inasemekana unakabidhiwa kwa Waarabu wa OMAN.. Team chawa watakwambia mama anaupiga mwingi na amewafikia wanyonge. Mi5 tena kwa mama Cc: Lucas Mwashambwa njoo huku utie neno Click to expand... Serikali ya awamu ya Tano ni serikali ya Haki .haiwezi kumuonea mtu na kumpoka haki zake
antimatter said: Hapo sababu ni Kupisha uwanja wa ndege KiA ambao inasemekana unakabidhiwa kwa Waarabu wa OMAN.. Team chawa watakwambia mama anaupiga mwingi na amewafikia wanyonge. Mi5 tena kwa mama Cc: Lucas Mwashambwa njoo huku utie neno Click to expand... Serikali ya awamu ya Tano ni serikali ya Haki .haiwezi kumuonea mtu na kumpoka haki zake