Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
We mjamaa bwanaSensa iko kizalendo zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mjamaa bwanaSensa iko kizalendo zaidi
Kabisa mkuu, matumizi ya vishkwambi yanarahisisha na kuokoa muda tu lakini kazi iko pale pale.Hao watalipwa tuu , na wanalipa pesa ya sku tano tuuu , 210000 au 212000 kulingana na kituo , lazimwa ukopwe ili usikimbie kazi , na hyo kazi ni ngumu haswa bila uzalendo huwez fanya , ni moja ya kazi ngumu Sana kuikamilisha angalau Kwa 90%
Na mbaya zaidi wamepewa jobless..hapo zingatia maumivu..hao hawana uzalendo ila wapo kimaslahi zaidi..mana kilichowapeleka hapi ni njaa..ndio mana wanataka waanze mgomo.Hao watalipwa tuu , na wanalipa pesa ya sku tano tuuu , 210000 au 212000 kulingana na kituo , lazimwa ukopwe ili usikimbie kazi , na hyo kazi ni ngumu haswa bila uzalendo huwez fanya , ni moja ya kazi ngumu Sana kuikamilisha angalau Kwa 90%
Umeongea Kwa hasira Sana kiongozi.TuliaaKisicho ridhiki hakiliki, wakome na wakomae kwa kupata nafasi kwa janjajanja!
Sijui tu huwa serikali inatuonaje watu wake...nasi jana tumelipwa ila kwa mbinde sana...[emoji23] had tuliwaambia kuwa watu wa lodge wanataka kutuny'anyanya vishikwambiMbona leo ni zaidi ya hizo siku tano?!
Wanajikimu vipi hao watu?
Yaa serikali ingekuwa imepiga bao kwa kuwatumia wanafunzi wa sekondari kwenye sensa na inawapa exposure ya mazingira ya kazi ndani ya jamii pindi watakapohitimu masomo yao.Ni sehemu ya masomo
Zamani ilifanyika hivyo
Sass unadhani hao akina meku hapo Hai wataendesha zoezi kwa usahihi wakati wanawaza hela?!!
Ni sehemu ya masomo
Zamani ilifanyika hivyo
Sass unadhani hao akina meku hapo Hai wataendesha zoezi kwa usahihi wakati wanawaza hela?!!
Wanapongezwa uelewa wa StatisticsHao wanafunzi wanaoongezewa marks ili ionekane shule zinafaulisha sana?
Kabisaaaa hata mie nakazia hapo.Hiii Sensa ingefanywa na wanafunzi wa shule za sekondari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katika kazi ngumu za serikali mwaka huu,hii inaongoza...[emoji23] na hapo tu ni mfano wa kaya 1 na una maswali zaidi ya 100 ya kuwadodosa..[emoji3578][emoji1487][emoji23][emoji1493]View attachment 2320748
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui tu huwa serikali inatuonaje watu wake...nasi jana tumelipwa ila kwa mbinde sana...[emoji23] had tuliwaambia kuwa watu wa lodge wanataka kutuny'anyanya vishikwambi
Wakigoma wanafukuzwa tunaletwa sisiLeo unatarajiwa kufanyika mgomo kuanzia mchana na watu waliopewa semina ya sensa kudai malipo yao ya zaidi ya siku 10. Watu wamejipanga ikifikia hadi mchana wa leo hawajalipwa watagomea semina hiyo.
Na unatakiwa upitie nyumba ngapi vile kwa siku??!Katika kazi ngumu za serikali mwaka huu,hii inaongoza...[emoji23] na hapo tu ni mfano wa kaya 1 na una maswali zaidi ya 100 ya kuwadodosa..[emoji3578][emoji1487][emoji23][emoji1493]View attachment 2320748