Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Mwambie huyu jamaa ni wa ajabu Sana!Wanafunzi wa shule za sekondari ndio hufanya kazi bure?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie huyu jamaa ni wa ajabu Sana!Wanafunzi wa shule za sekondari ndio hufanya kazi bure?
Wasukuma hawa.Katika kazi ngumu za serikali mwaka huu,hii inaongoza...[emoji23] na hapo tu ni mfano wa kaya 1 na una maswali zaidi ya 100 ya kuwadodosa..[emoji3578][emoji1487][emoji23][emoji1493]View attachment 2320748
Hujui unachokisemaHiii Sensa ingefanywa na wanafunzi wa shule za sekondari
Wewe unalako jambo, walimu hawajahusishwa?Na mbaya zaidi wamepewa jobless..hapo zingatia maumivu..hao hawana uzalendo ila wapo kimaslahi zaidi..mana kilichowapeleka hapi ni njaa..ndio mana wanataka waanze mgomo.
#MaendeleoHayanaChama
Potelea mbali kwani hadi Sasa wana nini walichoambulia mbali na sononeko la moyo, kwa nini wawasumbue vijana Kama walikuwa hawajajiandaaWatatimuliwa wote.
Trust me