Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama hili jambo lina afyaKanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia ujenzi wa kanisa milioni mia hamsini.
Watu waliokuwa katika lanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiuongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858468
Maridhiano ambayo haya kichwa wala miguuMaridhiano
Ni jambo jema kula matunda!
Nakubaliana na wewe hizi ni kodi zetuWanachezea pesa walipa kodi kwa siasa uchwaraaa
Kwanini haijatangazwa na kiongozi wa kanisa husika au Mbowe ndiye Mchungaji wa sasa wa kanisa hiloKanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia ujenzi wa kanisa milioni mia hamsini.
Watu waliokuwa katika lanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiuongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858468
Kanisa halina chama kama ilivyo kwa serikali kutokuwa na dini.Yote ni siasa tu na haina maslahinkwa taifa
Kanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia ujenzi wa kanisa milioni mia hamsini.
Watu waliokuwa katika lanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiuongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858468
CHADEMA ilikuwepo hata kabla ya Samia, CHADEMA haiishi kwa msaada wa SamiaHuyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
Upo sahihi sn kwenye pesa wachaga hawana aduiNi kawaida kwa Wachaga kufanya hivyo endapo mchango wenye dau kubwa unapotolewa na mwenye fedha, hapo utapata kila sifa, lakini ukiwapiga tu mgongo wanakung'ong'a ile mbaya.
Tangu lini hela zikachosha?[emoji3]Tutafika tukiwa tumechoka mno
Kwamba hilo kanisa ni la CHADEMA? Mkuu uwezo wako umeshuka sn jitafakari vizuriHuyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
Pia kanisa siyo mali ya CHADEMA ni mali ya KKKTTangu lini hela zikachosha?[emoji3]
P typing...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
Akili za Watanzania hovyo kabisa. Rais ana abuse pesa zetu Lakini Waandishi wa habari kama wewe badała ya kuhoji kazitoa wapi na wewe unashangilia😭😭😭Huyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
Wachagga kwenye pesa, hata uwaambie Shetani ametoa 200M watalipuka kwa shangwe hivyo hivyo.Kanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia ujenzi wa kanisa milioni mia hamsini.
Watu waliokuwa katika lanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiuongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858468
Uko sahihi kabisaNi kawaida kwa Wachaga kufanya hivyo endapo mchango wenye dau kubwa unapotolewa na mwenye fedha, hapo utapata kila sifa, lakini ukiwapiga tu mgongo wanakung'ong'a ile mbaya.
Mwenyekiti wa chama cha watoa taarifa atoa taarifa!Kanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia ujenzi wa kanisa milioni mia hamsini.
Watu waliokuwa katika Kanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiuongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858468