TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mzee Freeman Mbowe ni Mjumbe wa kamati ya Ujenzi wa kanisa hilo?Freeman Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Freeman Mbowe ni Mjumbe wa kamati ya Ujenzi wa kanisa hilo?Freeman Mbowe
Miradi ya maji inaendelea nchi nzima, Aweso anahitaji miezi 9 mfululizo kuizindua, kila siku awe saitiKuna vijiji vingi sana havina maji safi na salama kwa matumizi.
150m ingekuwa sadaka nzuri ya mwaka mpya kama ingetumika kuchimba visima viwili vya maji hata ya chumvi kwenye vijiji viwili kwa 75m@
HapanaNasubiri waisrael wa ccm na wapelstina wa chadema uwanja ni wenu sasa!
Yataje mambo hayo hapa! Kuwa huru advocate msomi.YaHuyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
Sawa mkuu weka utakavyo uonavyo wewe imependeza!Hapana
Ni Waisrael wa Chadema na Hamas wa CCM
hii imekaa vizuri
Kama waliotenda hawajasema, na waliotendewa hawajasema, who M I kuyasema?.Yataje mambo hayo hapa! Kuwa huru advocate msomi.
Ujumbe mahususi ndugu chiembe ni upiKanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyewahi kuwa Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia TZS 150,000,000/- za Ujenzi wa Kanisa
Watu waliokuwa katika Kanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858537
Baada ya ujio wa social media, sasa kila mtu ni mwandishi!.Duh sahv mnadharauliwa sana
Maana waandishi proffesional hawajulikani nani ni nani [emoji1]
Ova
Mbowe kageuka chawa kwa kulambuishwa asali!Kanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyewahi kuwa Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia TZS 150,000,000/- za Ujenzi wa Kanisa
Watu waliokuwa katika Kanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858537
Kwa hiyo Mbowe ni msemaji wa mwenyekiti wa CCM. Labda taarifa haijakamilikaKanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyewahi kuwa Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia TZS 150,000,000/- za Ujenzi wa Kanisa
Watu waliokuwa katika Kanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858537
Ni mfanyabiashara na Chadema ndio kitega Uchumi chake!!Ni mzalendo
Hayo mambo fulani yaeleze wewe kama unaona Mbowe kaficha.Huyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
Najaribu kuwaza vile Dr. Tulia angeandaa Machawa na press conference za mashambulizi na kum diss sugu kama rais Samia angetoa kiwango hicho cha feza kupitia Sugu.Kanisa limelipuka kwa shangwe baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyewahi kuwa Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe kupeleka salamu za Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba amechangia TZS 150,000,000/- za Ujenzi wa Kanisa
Watu waliokuwa katika Kanisa hilo wameeleza kwamba haijawahi kutokea shangwe kubwa kama hilo kwa miaka mingi sana tangu siasa za vyama vingi ziruhusiwe, na wengine wameeleza kwamba hiyo no ishara kubwa sana kinabii, kikanisa na kimaono ya kiongozi kuelekea uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa
View attachment 2858537