Hai yalipuka kwa shangwe baada ya Mbowe kutangaza Mama Samia amechangia milioni 150 Ujenzi wa Kanisa Hai

Sidhani kama hili jambo lina afya
 
Kwanini haijatangazwa na kiongozi wa kanisa husika au Mbowe ndiye Mchungaji wa sasa wa kanisa hilo
 
Yote ni siasa tu na haina maslahinkwa taifa
Kanisa halina chama kama ilivyo kwa serikali kutokuwa na dini.
Mama Samia ametoa mchango wa ujenzi wa kanisa kama msamaria mwema na rafiki, siyo kwa niaba ya chama au serikali.
Hata hivyo, huwezi kumtenganisha moja kwa moja.
 


Halafu NHIF inakufa
 
Huyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
CHADEMA ilikuwepo hata kabla ya Samia, CHADEMA haiishi kwa msaada wa Samia
 
Huyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
Kwamba hilo kanisa ni la CHADEMA? Mkuu uwezo wako umeshuka sn jitafakari vizuri
 
Huyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
P typing...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu ndiye Samia!. Tena Mbowe alipaswa kuwaeleza Chadema, jinsi Mama Samia alivyowasaidia mambo fulani ya ndani ya Chadema, ili hawa wana Chadema payuka payuka kumhusu Samia, walipaswa kuwa na shukrani!.
P
Akili za Watanzania hovyo kabisa. Rais ana abuse pesa zetu Lakini Waandishi wa habari kama wewe badała ya kuhoji kazitoa wapi na wewe unashangilia😭😭😭

Aliyeturoga ameshakufa na katu hatuwezi kupona.
Shida ni kwamba tuna matumbo makubwa yenye njaa kali😭😭😭
 
Wachagga kwenye pesa, hata uwaambie Shetani ametoa 200M watalipuka kwa shangwe hivyo hivyo.

I know them well ikija swala la pesa.
 
Ni kawaida kwa Wachaga kufanya hivyo endapo mchango wenye dau kubwa unapotolewa na mwenye fedha, hapo utapata kila sifa, lakini ukiwapiga tu mgongo wanakung'ong'a ile mbaya.
Uko sahihi kabisa
 
Just curious kwamba Bulaya na Halima Mdee walikuwa pamoja na Mnyika na Mbowe kanisani!
Shangwe zilikuwa kubwa sana walipotambulishwa.Inaashiria nini?
 
Mwenyekiti wa chama cha watoa taarifa atoa taarifa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…