Hai yalipuka kwa shangwe baada ya Mbowe kutangaza Mama Samia amechangia milioni 150 Ujenzi wa Kanisa Hai

Hai yalipuka kwa shangwe baada ya Mbowe kutangaza Mama Samia amechangia milioni 150 Ujenzi wa Kanisa Hai

Just curious kwamba Bulaya na Halima Mdee walikuwa pamoja na Mnyika na Mbowe kanisani!
Shangwe zilikuwa kubwa sana walipotambulishwa.Inaashiria nini?
Mkuu hapo biashara imeisha hiyoo
 
Msitgemee upinzani wa Chadema, act, na vyama vingine , hatuna upinzani Tz
 
Back
Top Bottom