Haijalishi umepania namna gani, waza mara mbili. Hakuna kitu kinauma kama kumeza dawa za ARV kila siku maisha yako yote

Haijalishi umepania namna gani, waza mara mbili. Hakuna kitu kinauma kama kumeza dawa za ARV kila siku maisha yako yote

Mimi Kuna li mkaka la Kihaya nilikuwa nalo kwenye husiano nikasex nalo kusema ukweli tangu siku hiyo sina amani maana niliumwa Fungus baada tu ya kusex nae… tangu mwezi wa 11 mpk Leo sitaki hata kuliona,, halafu nilimwambia twende zahanati tukapime akagoma akasema tununue vipimo tupimie home… wakuu yaani naogopaa kupima kabisaa na wakati mimi huwa sio muoga kwenye suala la kupima ila niliteleza kwa huyu jamaa wa Ntukula navurugwaa 🤣🤣🤣🙌🏻
 
Mimi Kuna li mkaka la Kihaya nilikuwa nalo kwenye husiano nikasex nalo kusema ukweli tangu siku hiyo sina amani maana niliumwa Fungus baada tu ya kusex nae… tangu mwezi wa 11 mpk Leo sitaki hata kuliona,, halafu nilimwambia twende zahanati tukapime akagoma akasema tununue vipimo tupimie home… wakuu yaani naogopaa kupima kabisaa na wakati mimi huwa sio muoga kwenye suala la kupima ila niliteleza kwa huyu jamaa wa Ntukula navurugwaa 🤣🤣🤣🙌🏻
Umetembea na wangapi we binti
 
Halafu unakuta Kijana upo pale Rusumo-boda unapiga tu kavu Fresh, mpaka Runzewe mpaka kule Kiaze kwa za kinyarwanda.. Loh

Inakuaje mtu anafika sehemu anaacha kutumia dawa.?? Maana wengi wanaoondoka, mtaani utasikia 'Alistop kutumia dawa'
 
Back
Top Bottom