Sasa kwani umekuwa mwanamke? Mbona unasema puleeaseee? Hata mikono unarusha kwenye hewa? Na mdomo unapindisha pia?Tuache na nchi yetu puleeaseee, sisi ndio tunaoamua jinsi ya kuishi na hivyo ndivyo tunavyotaka nchi yetu iwe, hatutaki Upinzani unaoturudisha nyuma, isitoshe kosa la Watanzania ni nini? Tumepima Chama kipi kinatufaa tumechagua, wewe ulitake na sisi tuanziehs BBI au, ...
Kuna mapungufu ya kutengeneza Kama scene za James Bond. Ndio maana watanzania wamempuuza kila mtu anajua hata wewe unajua Rais wa mioyo ya watanzania ni Magufuli.Hata kama uchaguzi ulikua na mapungufu tukubali matokeo?
MkuuKuna waliamua na majonzi baada ya zoezi zima la uchaguzi na matukio yake 28/10/2020. Ni haki ya kikatiba kufanya maandamano pale unapotaka kupaza sauti kukemea jambo usiloliridhshwa nalo.
Baada ya raia wenzetu kupoteza maisha kule Visiwani, wengi wetu tumeingia uwoga. Haki hupewi mkononi, haki hupiganiwa. Ni uamuzi wetu kuishi utumwani kwa amani au kupigania uhuru wetu.
Kuna makabila ninayoyaamini, yakianza hayo wangine wataingia. Hali ilivyo sasa hivi ni nani na jinsi ya kunvunja barafu. Hali ikianza upande mmoja tutajulishana kwa VPN, dunia ni ya kijiditali siku hizi.
Naona hata ile siku ya kuzaliwa ya “mshindi” haina shamra shamra leo.
Kuna waliamua na majonzi baada ya zoezi zima la uchaguzi na matukio yake 28/10/2020. Ni haki ya kikatiba kufanya maandamano pale unapotaka kupaza sauti kukemea jambo usiloliridhshwa nalo.
Baada ya raia wenzetu kupoteza maisha kule Visiwani, wengi wetu tumeingia uwoga. Haki hupewi mkononi, haki hupiganiwa. Ni uamuzi wetu kuishi utumwani kwa amani au kupigania uhuru wetu.
Kuna makabila ninayoyaamini, yakianza hayo wangine wataingia. Hali ilivyo sasa hivi ni nani na jinsi ya kunvunja barafu. Hali ikianza upande mmoja tutajulishana kwa VPN, dunia ni ya kijiditali siku hizi.
Naona hata ile siku ya kuzaliwa ya “mshindi” haina shamra shamra leo.
Hatuna unafiki sisi wapinzani wa kupinga maendeleo hatuwatakiIlipaswa waachie hata watano hivi wa kuzuga, sio unakomba kila kitu bila kupepesa macho.
2015 walichaguliwa, lakini kabla ya 2020 baadhi yao walirudi CCM. Kwa Tanzania ni vigumu kujua yupi mamluki na yupi mpinzani kweli. Inaaminika kila moja ana bei. Mpaka sasa CUF wamepata mmoja ngoja tuone mpak jioni itakuaje.Ilipaswa waachie hata watano hivi wa kuzuga, sio unakomba kila kitu bila kupepesa macho.
Upuzi mtupu wakawashike kina Bush na Netenyahu for crimes against the people of Palestine and Iraq.
Surely this is so bad. Ila tumejichimbia kaburi wenyeweWabongo huu ni ujinga. Demokrasia imekufa rasmi Tanzania. Tanzania is going backwards. Watalia na kusaga meno siku za usoni. Ile heshima kidogo niliyokuwa nayo kwao imeisha. Hio nchi inaelekea kubaya. Hakuna jinsi upinzani unaweza kukosa japo kiti kimoja bungeni. Hio haiwezekani hata kidogo. Majirani zetu mnaelekea kubaya. Tunawaonya mapema tu msije mkasema hamkuambiwa.
Maneno yakipumbavu Huongea Wapumbavu jamii yako.Wabongo huu ni ujinga. Demokrasia imekufa rasmi Tanzania. Tanzania is going backwards. Watalia na kusaga meno siku za usoni. Ile heshima kidogo niliyokuwa nayo kwao imeisha. Hio nchi inaelekea kubaya. Hakuna jinsi upinzani unaweza kukosa japo kiti kimoja bungeni. Hio haiwezekani hata kidogo. Majirani zetu mnaelekea kubaya. Tunawaonya mapema tu msije mkasema hamkuambiwa.
Mtaandika sana Mtaumia sanaRaha sana kutawala maiti, hadi namuonea wivu Jiwe. Yaani akiwaambia vueni nguo wanavua wote fasta, pindukeni, inameni, hapo sasa!