Haijawahi tokea, Mwana FA na AY kulipwa bil 2 tshs na Tigo

Utafanyaje justification wakati hakukuwa na contract Mkuu?


Utafanyaje calculation wakati hakukuwa na mkataba Bro.
Hoja yako ina mashiko kama kina Ay wangelalamika kupunjwa hela za mauzo ,hapo ingekua sawa.
Tigo wangepeleka mkataba na kueleza kuwa tulikubaliana kiasi flani,na kimepatikana hiki.
Tigo walichofanya ni uwizi,kujipatia fedha kwa kutumia mali ya mtu mwingine bila ruhusa yake.
 

Okay, hakukuwa na contract, kwa hiyo unaamua kucharge kiasi chochote?

Bila kuangalia hasara iliyosababishwa?
 
Hata Bell 9 anafanya shoo na kuuza nyimbo, je linapokuja swala la ni nani msanii mwenye mkwanja mrefu tutamuingiza kisa nae anafanya shoo na kuuza nyimbo ?????

Wewe si umesema diamond anafanya show na kuuza nyimbo hivyo yeye pekee ndiye tajiri kuliko wote
 
Wewe si umesema diamond anafanya show na kuuza nyimbo hivyo yeye pekee ndiye tajiri kuliko wote
Acha kutafuta msaada hayo maneno siku sema kama vp ilete hapa hiyo komenti yangu yenye maneno hayo uniumbue kama ni kweli.
 
Okay, hakukuwa na contract, kwa hiyo unaamua kucharge kiasi chochote?

Bila kuangalia hasara iliyosababishwa?
Hasara utaipimaje. Hiyo kesi inahusu hakimiliki.
Na ni aina ya kesi zinazokuwa na fine kubwa duniani.maana huwezi kadiria ile kazi ingeingiza kiasi gani.
Pengine zile caller tune zingetumiwa na voda pekee zingegenerate bilioni 5,so huwezi jua sababu haijatokea.
 

Ngoja tusubiri, ninachowapendea The Citizen hii habari wataendelea kutujulisha mpaka mwisho wake, tofauti na haya magazeti mengine ya kuleta habari za matukio tu.
 

Hapo umesemaje?? Diamond kwenye makampuni inatosha kupata billion ukiweka na show na kuuza nyimbo ndio atakuwa tajiri zaidi ya wote au unakana ulichoandika?
 
Ni wapi nimemponda diamond na wapi nimemsifia huyo ali kiba
Kwahiyo unanidai saa,dakika na tarehe ulizokomenti kuponda na kusifia ( muda huo sina) kwahiyo unataka kuniambia mimi komenti zako ndio nakutana nazo leo si ndio au hilo jina umeanza kulitumia leo ?????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…