KUKATAA RUFAA NDIYO NINI.WAMETUMIA AU HAWAKUTUMIA SONGS' PASIPO MAKUBALIANO?
INABIDI KUWA MACHO NA MAKINI NA HAWA TIGO HAWACHELEWI KUHAMISHA HASARA HII WALIYOPATA KWA WATEJA WA KAWAIDA.
hako ka-ukwel kanasisimua.Wewe Wasema.
team diamond sound mnapenda kulazimisha mambo sana nyie utafikiri anapoenda kusign hiyo mikataba anawaletea nakala,marangapi anapiga show za bure huko kiwanja anakoenda zaidi anaambulia kufanya shopping..!!jinsi AY alivyo wafungua na kuwatoa tongotongo wasanii wenu wakibongo wanao penda umaarufu wakati wananuka njaa utasikia kesho kesizitavyo rindima huko akiwemo na huyo mondAcha kukaririshwa,bilioni ni pesa nyingi sana lakini usiseme eti ndio watakuwa wasanii matajiri kwa E.A. DIAMOND keshazipita hizo hesabu siku nyingi sana kwa ubalozi wake tu kwenye makampuni unatosha kuingiza hizo hela na zaidi sikuambii show wala mauzo ya nyimbo zake kwenye mitandao.
Naona umekazania sana hii kitu Bro.Hakuna ataelipwa hiyo hela
Mh na Dangote vipi?Watakuwa ndio wasanii matajiri zaidi East Africa.
AY ana shule gani mkuu form four! sema FA ndo angalau yupo na Degree sijui ya nini!wako vizuri sana ay kapiga school ya kumpa ufaham
team diamond sound mnapenda kulazimisha mambo sana nyie utafikiri anapoenda kusign hiyo mikataba anawaletea nakala,marangapi anapiga show za bure huko kiwanja anakoenda zaidi anaambulia kufanya shopping..!!jinsi AY alivyo wafungua na kuwatoa tongotongo wasanii wenu wakibongo wanao penda umaarufu wakati wananuka njaa utasikia kesho kesizitavyo rindima huko akiwemo na huyo mond
Nipo tayari mkuuVIP bado hujarud Safar nini? Loh
Naomba uniunganishe kule kwenye tatizo letuVIP bado hujarud Safar nini? Loh
Naona umekazania sana hii kitu Bro.
Una sababu za msingi kutetea hoja yako?
wako vizuri sana ay kapiga school ya kumpa ufaham
SORR NILITAKA KUSEMA FAFA kamalizia masters yake coventry University UK
AY ana shule gani mkuu form four! sema FA ndo angalau yupo na Degree sijui ya nini!
SORRY NILIMAANISHA FA NA KWANINI......... USEME AY HANA SHULE UNAMFAHAMU AU ?AY ana shule gani mkuu form four! sema FA ndo angalau yupo na Degree sijui ya nini!
Ntakusue kweli, Sasa tumalizie tatizo hapa hapa, Kama nlivosema awali simu yangu haionyeshi chochote. Hâta hao mods siwaoni, pm siioni? Picha sizion Hadi avatar za watu sizionNaomba uniunganishe kule kwenye tatizo letu