Haijawahi tokea, Mwana FA na AY kulipwa bil 2 tshs na Tigo

Haijawahi tokea, Mwana FA na AY kulipwa bil 2 tshs na Tigo

Sheria imefuata mkondo wake. Naona wakilipwa settlement fees na si hiyo 2bil na kesi kufungwa. Wasanii wataiga mfano
 
Namfahamu Sana, kasoma Mbeya O level hela yenyewe ya Ada mwaka wa mwisho badala ya kulipa Ada akaamua kuja Dar kurecord ngoma yake ya kwanza, bahati nzuri ikamtoa...!
Watu washajiendeleza we unaongea past tense......sema ulikua unamjua sio unamjua.Wabongo mnafatilia hadi ada asee.
 
Sorry wanasheria mtanisaidia hivi district court can award hukumu ya Tsh 2.4 Billion........? Au huwa ni high court...???

Maana hapo wametaja district court
 
No free lunch. Sheria ni mchezo wa kijinga. Jamaa watakata rufaa then the saga will continue. Pesa ya mahakama ha ha ha
 
wawalipe tu maana hakuna namna nyingine...tumechoka kuona wadosi wakinufaika na nyimbo za wasanii huku wasanii wakiendelea kushindia mihogo kama dr slaa.
 
Ukiambiwa ulete watu waloenda shule utaenda kuleta form four!? Miaka ya Leo!! Ilikua zamani...
acha kutumia nguvu pasipo na sababu we mwenyewe nina mashaka na wewe 😱😱😱😱😱😛😛😛😀😀😀😀
 
wawalipe tu maana hakuna namna nyingine...tumechoka kuona wadosi wakinufaika na nyimbo za wasanii huku wasanii wakiendelea kushindia mihogo kama dr slaa.
hahahaha padere doctor slaa muongoo............
 
Someni Mwananchi la leo lina hiyo habari ya tigo kukataa rufaa
 
Je kati ya huyo Fa mwenye elimu na Ay ni nani mwenye mkwanja zaidi?

Nauliza tuu[emoji85] [emoji85]
AY Ana mkwanja kuliko FA, coz iinapokuja kwenye mafanikio haiangalii Elimu, Historia yako, Ni vile unavyopanga mipango yako!
 
acha kutumia nguvu pasipo na sababu we mwenyewe nina mashaka na wewe 😱😱😱😱😱😛😛😛😀😀😀😀
Wewe nilikwambia FA ndo mwenye shule kuliko AY, Kinyume na wewe ulivyosema na ukasema Ni Kweli umechanganya! Nilichoongea Ni ukweli, kwani kusema Diamond kaishia Darasa la 7 Ni dhambi? Wakati ni kweli, nani asiyejua? mbona unaanza kunishambulia bila sababu? Hunijui sikujui....Mbona wewe ulivyotapeliwa kizembe vile ambavyo binafsi siwezi kutapeliwa kijinga namna ile, mbona sikukushambulia? Acha mambo yako wewe mtoto wa kike, usimdharau mtu usiyemjua!!!
 
Wewe nilikwambia FA ndo mwenye shule kuliko AY, Kinyume na wewe ulivyosema na ukasema Ni Kweli umechanganya! Nilichoongea Ni ukweli, kwani kusema Diamond kaishia Darasa la 7 Ni dhambi? Wakati ni kweli, nani asiyejua? mbona unaanza kunishambulia bila sababu? Hunijui sikujui....Mbona wewe ulivyotapeliwa kizembe vile ambavyo binafsi siwezi kutapeliwa kijinga namna ile, mbona sikukushambulia? Acha mambo yako wewe mtoto wa kike, usimdharau mtu usiyemjua!!!
soma thread nyingine jombaa nilisharekebisha haya maneno yooote ya nini unahangover ndugu kunywa maji mengi na supu ya gigi mane ukisha fanya hayo uje fasta sana
 
soma thread nyingine jombaa nilisharekebisha haya maneno yooote ya nini unahangover ndugu kunywa maji mengi na supu ya gigi mane ukisha fanya hayo uje fasta sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka Sana supu ya gigy money
 
AY Ana mkwanja kuliko FA, coz iinapokuja kwenye mafanikio haiangalii Elimu, Historia yako, Ni vile unavyopanga mipango yako!
halafu ay nimemsikia alkisema jana kwenye milad ayo kuwa alikuwa analalakwenye makontena na kuoga mitaani yaani kifupi alikaribia kuwa kama chokoroo kamili............ namfurahia sana kisha hana mambo mengi
 
Wewe nilikwambia FA ndo mwenye shule kuliko AY, Kinyume na wewe ulivyosema na ukasema Ni Kweli umechanganya! Nilichoongea Ni ukweli, kwani kusema Diamond kaishia Darasa la 7 Ni dhambi? Wakati ni kweli, nani asiyejua? mbona unaanza kunishambulia bila sababu? Hunijui sikujui....Mbona wewe ulivyotapeliwa kizembe vile ambavyo binafsi siwezi kutapeliwa kijinga namna ile, mbona sikukushambulia? Acha mambo yako wewe mtoto wa kike, usimdharau mtu usiyemjua!!!
hahahaha nilikuwa sijasoma maneno yako yote hahaha nashukuru ulikunywa chai yangu isiyo na sukar sasa umeona kweli hahahahahahahahahahahahaha kweli wajinga bado mpogo eti ulitapeliwa kijinga tehetehe................. ndezi kweli weye

samahani wewe ni mwanaume ETI?😱😀😀😀😀😀😀😀😀 MPAKA MACHOZI YANANITOKA KWA KUKUCHEKA
 
Hata Bell 9 anafanya shoo na kuuza nyimbo, je linapokuja swala la ni nani msanii mwenye mkwanja mrefu tutamuingiza kisa nae anafanya shoo na kuuza nyimbo ?????
Hebu kutuwekee BANK STATEMENT ya huyo jamaa yako nasisi tuthibitishe hapa
 
Hiyo hela ni ya shows tano tu kwa Diamond.

HAJAWAHI HATA KUIOTA KUWA IPO SIKU ATAMILIKI 1BIL TSHS..SEUSE HIZO SHOW UNAZOZIONGELEA. PESA SIO NYWELE ZA UVUNGUNI MWA MAPAJA USEME KILA MWENYE MIAKA ZAIDI YA 15 ANAZO. SHIKA ADABU YAKO.
 
Back
Top Bottom