Haikuwa uamuzi sahihi kusitisha ajira hata kwa Walemavu, hili kundi linataabika sana mtaani

Haikuwa uamuzi sahihi kusitisha ajira hata kwa Walemavu, hili kundi linataabika sana mtaani

Unaanzia wapi
Shida iko hapo(ulivyojibu tu tayari ubongo wako ushauambia ww huwezi)...yaan ukishauambia ubongo mm siwez ni wa kusaidiwa inakuwa hvyo...ukijiambia mm sina ulemavu nnaweza fanya lolote inakua pia...anywys...kila mtu na anavyoulisha ubongo wake..bt kumbuka kuna walemavu wana mpesa,tigps ,wauza karanga,kuna mkoa fulani mlemavu wa miguu anahudumu lodge ..ana amani tele...naamini alijiambia yy sio mlemavu...ukisubiri serikali ikuone kwakweli utasubiri sana na !(najua utasema hao wametoka familia njema🤭 ushaulisha tena ubongo )
 
Ogopa sana mkuu.. binafsi ni mtoto wa mlemavu wa macho ilihali nami pia ni mlemavu wa macho it's a matter of genetics.. ikiwa kama mtoto wa pekee wa kiume katika familia nilifanya kila liwezekanalo kufanikisha safari yangu ya kielimu. Katika mazingira magumu pasi na wataalamu wala vifaa mungu ni mwema ngazi ya digri niliitimu tena kwa respective GPA

Inaniuma sana hasa nikimtazama mamaangu jinsi alivyojitoa kwani kama mama mjane na mlemavu aliuza mashamba karibia yote akaanza kuuza hata vitu vya ndani ili tuu mimi nisome. Yaani dah moyo wangu umekufa ganzi kabisa. Nb: nimeandika kwa kisoma screan so forgive me for any typing errors.

Nimefanya interviews nyingi, kujitolea na kila hata kuonana na viongozi baadhi lakini wapi. Yaani daah chonde chonde wahusika tunaomba mtutazame makundi maalumu pia kwani sio kwamba hatuna uwezo wakufanya kazi ingali na mapungufu yetu
 
Pole sana Mkuu, changamoto zinazidiana. Unaweza ukahisi una changamoto nyingi kumbe mwingine ana changamoto zaidi.
Cha msingi tuendelee kuwa wavumilivu na kufanya kila namna ili kusogea hatua moja kwenda nyingine.

Pia mamlaka zisisahau hili kundi kiasi hiki!
 
Pole sana mkuu, changamoto zinazidiana. Unaweza ukahisi una changamoto nyingi kumbe mwingine ana changamoto zaidi.
Cha msingi tuendelee kuwa wavumilivu na kufanya kila namna ili kusogea hatua moja kwenda nyingine.

Pia mamlaka zisisahau hili kundi kiasi hiki!
Shukrani sana mkuu. Kweli kabisa kikubwa ni kutokata tamaa.
 
Hongera kwa kufika hadi hapo ulipo, hebu Mkuu jaribu kubadili fikra. Mbona mimi naona umezungukwa na fursa nyingi tu. Jebu jiswitch kivingine Mkuu, usisubiri propaganda za Serikali
 
Ndugu nimekuomba mfano kule juu umeshindwa kunionesha. Serikali lazima iwajibike naona hili suala unataka kulihitimisha hivivi tu. Inawezekana umeaezeshwa hata we ndo maana uko hapa.
Mfano gani? Nani ameniwezesha? Mimi ni anti-Serikali haswa haswa. Nilikua natoa excuses kibao kama wewe lakini niliamua kuiangalia in a postive way. Hiyo serikali yako maskini itawajibika kwa walemavu wote TZ ? Endelea kungoja
 
Mfano gan? Nan ameniwezesha? Mm ni anti-serikali haswa haswa.... nilikua natoa excuses kibao kama ww lakini niliamua kuiangalia in a postive way..hiyo serikali yako maskini itawajibika kwa walemavu wote tz ? Endelea kungoja
Umeona sasa. Hebu pita vizuri utaona nilikwanbia mfano wa namna ya kujikwamua bila ya serikali. Hebu tuanzie hapa.
 
Pole mkuu Ni mapito.
Mkuu unawezaje kusoma na kuandika?
Mimi ni mtu asiyeona pia. Hebu pita hapa utaelewa zaid watu wasioona wanavyotumia simu na computers.
 
Anzisheni watsaap group lenu la wenye ulemavu,mtu akitaka ajiunge lengo ni kushare experiences, stratergies za kukabiliana na changamoto zinazo wakabili katika siku
 
Umeona sasa. Hebu pita vizuri utaona nilikwanbia mfano wa namna ya kujikwamua bila ya serikali. Hebu tuanzie hapa.
Ila wewe had ukafunguke upeo wako sio leo...kwahyo uko hapo ukisubiri serikali ikukwamue?
Mwenzako kasema kamaliza degree..nikamwambia kumaliza degree ameshajitofautisha na walemavu wengine by far..ni yy kuanza kuitumia degree yake huko mtaani...
Unashindwa nn kuanzisha kituo cha tuition au hata nursery school? Kalaghabaho
 
Back
Top Bottom