Haikuwa uamuzi sahihi kusitisha ajira hata kwa Walemavu, hili kundi linataabika sana mtaani

Haikuwa uamuzi sahihi kusitisha ajira hata kwa Walemavu, hili kundi linataabika sana mtaani

Hamuelewi tu siri ya kuanza mwenyewe then ndo uwe pushed...hv sasa nin maana ya kuwa kwenye jamii inayokuzunguka? Yaan umekaa hapo una idea ya kufungua tuition lakin unakaa unasubiri mtendaji akuletee vitendea kazi?? Hv uko serious kweli? Unashindwa nn kupita nyumba kwa nyumba mtu kwa mtu kuomba akuchangie dawati? Anza kwanza kuoambna mwenyewe thrn atatokea mtu atakupush...mngekuwa mnasadiki tungeweza kuwekaga shuhuda humu msadiki ..hakuna mafanikio rahis..kubali kuteseka..kubali kukataliwa..hata hiyo mifuko ya jimbo sijui mafungu ya walemavu unadhan yatatosha sasa kwa aina hii ya mawazo? Aisee safari bado ndefu..nakuhakikishia ukiendelea kusubiri kuwezeshwa na serikali utaishia kuwa maskini...tena fukara mno! Maisha yako yako kiganjani mwako...amka..simama on your feet...
Unashindwa kuomba kikuku ki1 kwa jirani ukakilea ukaanza ufugaji kutafuta mtaji? Walau upate kuku 40 ukiuza kila kuku 10000 huna laki 4 hapo? Hujapata madawati ya tuition hapo hata m5? Au viti vya plastick hata 6?Shida mnataka hela za papo kwahapo...HAKUNAGA[emoji137]
Daah, umepiga hesabu rahisi sana, Ahsante kwa ushauri.
 
Mkuu, kwani ambao sio walemavu wanapata wapi mtaji? Mbona mi sipati na sina ulemavu wowote?
Endapo fursa hata ya kusukuma toroli, kati ya mlemavu asiyeoona au asiyeweza kutembea na wewe ambaye unaona na kuweza kutembea, nani atakuwa na afadhali katika hiyo fursa? Huo ndio utofauti ninaoupigia kelele.
 
Tunaomba wafikirie na kada zingine kunusuru hili janga la ukosefu wa ajira kwa walemavu.

Ikumbukwe pia, serikali ndio tumaini la walemavu maana mashirika yasiyo ya serikali ukiwaeleza/wakikuona una ulemavu kupata nafasi ni nadra sana kwani wao wanachoangalia ni faida kwenye shirika lao jambo ambalo wanahisi mlemavu anaweza kuchelewesha malengo yao na hatimaye hupati nafasi
Kabisa ndugu bado mtazamo haumpi fursa mlemavu aoneshe uwezo wAke katika kuhudumia jamii
 
Kwanza serikali haiwez ikakupa mtaji kizembe namna hiyo...yaan maisha haya bora uchanwe live tu... maisha magumu kweli lakini napinga kbs serikali kuja kukupa mtaji...umekaa tu eti unasubirinkushikwa mkono..lol
Nahis kama ungeacha kuchangia hapa. Unavuruga michango mizuri inayotolewa na wengine.
 
Tuchukue mfano kuanzisha tuition, pale itahitajika vitendea kazi kama darasa/ukumbi, mabench ya kukalia. Hivi vitu viwili huwezi kuvipata bure na ukiwa huna hata senti ni janga. Ndio maana tunasema tuwezeshwe kulingana na hali zetu.

Mtu kama huyu ni rahisi kumuwezesha na akainuka vizuri tu, hicho ndicho cha muhimu(kushikwa mkono)
Hayo anayozungumza bila million huyapati. Halaff suala lA pili hao wazazi mirtazamo yao bado sana
 
Kwanza serikali haiwez ikakupa mtaji kizembe namna hiyo...yaan maisha haya bora uchanwe live tu... maisha magumu kweli lakini napinga kbs serikali kuja kukupa mtaji...umekaa tu eti unasubirinkushikwa mkono..lol
Kwa taarifa yako serikali inatoa mitaji. Na haya mawazo ya aina kama yako ni ya watu wenye roho mbaya. Tulijadili kuajiri kwwa serikali. Inaonekana unauelewa mdogo juu ya huduma kwa jamii.
 
Mlemavu ana Economic disadvantages nyingi kuliko Advantages.

Tunazungumzia kukwamuka kiuchumi, mlemavu kupata nafasi katika Private Entity ni sawa na ngamia kupita katika tundu la sindano iwe Professional, iwe manual work mbinde sana mlemavu kupata nafasi huko...Private Entity wanaangalia faida ya kampuni zaidi kumpa kazi mlrmavu na kumuacha mzima kwao wanaona kama Charitable Activities na wao hawapo kwaajiri ya Charity.

Now, tunaona mlemavu hana nafasi serikalini hana nafasi Private, kimbilio pekee linalobaki kwake ni kujiajiri.

Swali: anajiajiri vipi hana mia mfukoni.

tukijiuliza swali hilo maana yake tunaangali mwanzo anaanzaje, tusiangalie kuna mlemavu anamiliki Gari, Hotel, Shule...Suala alipokuwa hana ata 100 Tzs mfukoni ilikuwaje.

Mimi sijui nyie mutakwamukaje mimi hilo halinihusu imetosha kuwatetea.

Walemavu munahitaji mkono kwakweli, ila kwahii Dunia ya sasa nafikiri inaenda kinyumenyume unaweza kuwa na haki yakupata kitu fulani ila utangoja ukipate mpaka unakufa hakuna atayekuja kukupa.

Maisha ya sasahivi Kama mvua yanamnyeshea kila mtu hayajari wewe mlemavu wewe Graduate, unategemewa, mgonjwa yenyewe yanachojua ni kutandika bakora tu bila huruma.
 
Kwa taarifa yako serikali inatoa mitaji. Na haya mawazo ya aina kama yako ni ya watu wenye roho mbaya. Tulijadili kuajiri kwwa serikali. Inaonekana unauelewa mdogo juu ya huduma kwa jamii.
Sasa mbona hamjapata mnalia lia iwakumbuke na nyie? Lol...milioni 50 za kijiji tu imekuwa shughuli....niwe na roho mbaya ww inisaidie nn? Bas subiri zamu zenu zinakuja boss..unashindwa hata kufuga vukuku vya kienyeji hapo hazina mbwembwe umekaa kusubiri serikali? Tafuta eneo ntakutumia vifaranga hata 30 bureeee...ufuge! Yaan ww ungekuwa mwanangu ungenichukia mamako...amka ulipolala hebu..hakuna urahis huo
 
Back
Top Bottom