Haipendezi mwanaume kufanya haya!

Haipendezi mwanaume kufanya haya!

cute b

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
16,878
Reaction score
34,276
Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-

1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.

2) Kutumia maneno haya:-

Shosti/Shostito, My, Mie, Mwaya, Nimekumisije, Msyuuuu...,My Maa, Ptuuuuu...., Utantaka,haalooo, jamaani n.k

3) Kutumia hela na Mwanamke yeyote au Mpenzi wako au Kumhonga kisha kulalamika mbele ya Wanaume wenzio. Sasa si ulienjoy naye,sisi tukusaidiaje? (Hapo Unajichoresha)

4) Kutamka neno "Nimeshindwa" au "Siwezi" mbele ya mwanamke...ni bora useme "Nitalishuhulikia" haijalishi unaweza au huwezi hilo suala.

5) Kulalamika kupita kiasi au kuweka kitu rohoni muda mrefu, (haipendezi pia kwa dume). Kama umekerwa Tunasemaga tu kavukavu.

6) Kuomba ushauri wa kitoto toto. Mfano,kitu kidogo unachoweza kushuhulikia ukiomba ushauri ni kujishusha na kujidharau.

7) Kuwa Mnafiki, mfano unajua kabisa chama flan kina unyonyaji na maovu na unashabikia kisa una maslahi bila kusimamia ukweli.
Ongeza nyingine...
 
pia mwanaume kutumia X badala ya S utakuta mwanaume ananiandikia mwanaume mwenzie xaxa badala ya sasa au uxhauri badala ya ushauri

Hizi ni dalili za ushoga mambo mengine tuwaachie dada zetu
 
pia mwanaume kutumia X badala ya S utakuta mwanaume aniandikia mwanaume mwenzie xaxa badala ya sasa au uxhauri badala ya ushauri

Hizi ni dalili za ushoga mambo mengine tuwaachie dada zetu

Hilo nalo neno...
Mwanaume hapaswi kutumia x kwenye s..
 
Hii post kama imejirudia thot i saw it somewhr.

By the way wanaume siku hizi ni wachache sanaaa, tunakoelekea nafikiri wataisha kabisaaa, hebu jitambueni na mbadilike.
 
Mm nikikutana na kitu hii (xaxa) naruka mstari mzima.
 
Kama tittle inavyojieleza Mwanaume kufanya yafuatayo haipendezi:-

1) Kuwa mbeya au kushiriki umbea kwa namna yoyote aidha kwa kukusudia au kwa kutokusudia.

2) Kutumia maneno haya:-

Shosti/Shostito, My, Mie, Mwaya, Nimekumisije, Msyuuuu...,My Maa, Ptuuuuu...., Utantaka,haalooo, jamaani n.k

3) Kutumia hela na Mwanamke yeyote au Mpenzi wako au Kumhonga kisha kulalamika mbele ya Wanaume wenzio. Sasa si ulienjoy naye,sisi tukusaidiaje? (Hapo Unajichoresha)

4) Kutamka neno "Nimeshindwa" au "Siwezi" mbele ya mwanamke...ni bora useme "Nitalishuhulikia" haijalishi unaweza au huwezi hilo suala.

5) Kulalamika kupita kiasi au kuweka kitu rohoni muda mrefu, (haipendezi pia kwa dume). Kama umekerwa Tunasemaga tu kavukavu.

6) Kuomba ushauri wa kitoto toto. Mfano,kitu kidogo unachoweza kushuhulikia ukiomba ushauri ni kujishusha na kujidharau.

7) Kuwa Mnafiki, mfano unajua kabisa chama flan kina unyonyaji na maovu na unashabikia kisa una maslahi bila kusimamia ukweli.
Ongeza nyingine...

CCM ndiyo imetufikisha hapa.
CHAGUA UKAWA CHAGUA LOWASSA.
 
Back
Top Bottom