Ghost Republic
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 623
- 533
Apumzike kwa amani Haitham Kim
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeWasanii waunde umoja wa kusaidiana wawe wanachangia hata 20,000 kila mwezi ,
Mmoja akipata shida wanatoa.
Mbona wauza kitimoto wa kimara wanaotokea Moshi wanafanya?
Au ule umoja wa w.auza mayai kutoka kiabakari Musoma waishio Kitunda
Sasa hata hicho cha kuchangia chenyewe unacho?Mungu anisamehe ila msanii wa bongo hakuna ntakaemchangia for sure hata siku Moja labda Riyama tuu..wengine wote hapana
Hamna Cha vita wala Nini.Hii vita yenu inapoelekea sio kuzuri
200,000,baba,mama na watoto wawili....ukiongeza wa tatu unaongeza 80,000Hio Bima ya NMB gharama zao zikoj kama hutojali
😅😅😅😅 JamaniSasa hata hicho cha kuchangia chenyewe unacho?
Sikijui vzr bn nlikuwa na girl friend mrangi alikua ananiambia baadhi ya misamiati
Ohoo kuna mtu kayakanyaga tayari kwa pisi ya buza😂😂🤣🤣Unanitafuta long
Trust me hutokaa unipate
Pita kushoto mbona mie sijawahi kukuquote?sababu sijui hata kama waexist humu jukwaani
So nipotezee,usifosi mazoea Bibi weeh
Usanii bongo bora utafute shughuli nyingine yoyote ile ya kufanya!
ok,ok,mi mwenyewe mzamiaji naibia ibia baadhi ya manenoSikijui vzr bn nlikuwa na girl friend mrangi alikua ananiambia baadhi ya misamiati
Sema ulichosema 🤣🤣🤣sasaok,ok,mi mwenyewe mzamiaji naibia ibia baadhi ya maneno
Ni ugonjwa gani huo Jamani?Hata kama anayo ila inapofikia tiba yake sindano kwa siku 700k bima ipi itafaa, hata kama angekuwa na bima ya 3.5m kwa mwaka pia isingetosha lazima angetakiwa kulipia gharama za ziada kwasababu sio kila bima inabeba maradhi yote otherwise ile bima premium ambayo ni ghali, possibly alikuwa na lupus ni ugonjwa unaohitaji pesa sana sitashangaa.
Mtu wangu wa karibu alikuwa nao kila baada ya miezi 3 sindano yake ni 2.8m
Lupus ni ugonjwa unaotokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia tishu na viungo vyako (ugonjwa wa autoimmune). Uvimbe mdogo unaosababishwa na lupus unaweza kuathiri mifumo mingi ya mwili - ikiwa ni pamoja na viungo vyako, ngozi, figo, seli za damu, ubongo, moyo,mifupa, maini na kubana mapafu.Ni ugonjwa gani huo Jamani?
Balaa tupu mzee😀😀Sema ulichosema 🤣🤣🤣sasa
Harmonise naye tajiri kampa range kajala, na kashindwa kuchanga, ila alimuombea msaada wa matibabu kwa Samia pale paje kwenye tamasha la kizimkazi.Bilnas na mkewe Nandy ni matajiri wamsaidie
Ile Kali kakaa kwenye pool anaogea maziwa.Km Uwoya kaahh... hapana nyodo zimezidi wa kuambiwa watu wanakaaa stoo watafute Hela[emoji3526][emoji28][emoji3526][emoji3526][emoji3526]akasema j3 ni wikiendei sio work day,tutafute Hela tupunguze kupanda daladala !!!
ChaiSasa hata hicho cha kuchangia chenyewe unacho?